Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Rais hupimwa kwa mafanikio yake akiwepo madarakani.

Kila nyanja utayoigusa, Kikwete kafanya zaidi kuliko wote.

Ooh serious!!??

Vipi kwenye kutokomeza rushwaa napenyewe alifanya vizuri zaidi ya wote?

Vipi kwanye usimamizi wa mali za uma kama vile wanyama pori, ni kwanini wamepungua kwa kasi kipindi chake?


Uhusiano wako na Kikwete ukoje? Nahitaji kujua.
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.

Unapimaje wingi wa akili? Ninadhani title yako inaleta mashaka. Toa vipimo au vigezo unavyotumia kupima wingi wa akili ili tujue tunapochangia tunaangalia nini.
 
Unapimaje wingi wa akili? Ninadhani title yako inaleta mashaka. Toa vipimo au vigezo unavyotumia kupima wingi wa akili ili tujue tunapochangia tunaangalia nini.
Ili ujue kuwa hao watu wana akili, inawezekana mambo waliyoyafanya wewe huwezi kuyafanya! Maana yake akili waliyotumia mpaka kufika hapo wengi hawana.
 
kweli hiyo ni liost yako, yani hata wenye vyeti feki unawahesabu?

unamuweka wapi Sengendo mvungi?
Mapalala wapi?
 
Ili ujue kuwa hao watu wana akili, inawezekana mambo waliyoyafanya wewe huwezi kuyafanya! Maana yake akili waliyotumia mpaka kufika hapo wengi hawana.

Kuna jambo
Ili ujue kuwa hao watu wana akili, inawezekana mambo waliyoyafanya wewe huwezi kuyafanya! Maana yake akili waliyotumia mpaka kufika hapo wengi hawana.

Kama h icho ulichokisema ndicho kipimo cha akili, bila shaka tunahitaji mjadala zaidi. Ila kwa ufupi hapa hapatkiwi kuwa na neno akili kwa kuwa naona si mahala pake. Akili gani kwa mfano ya Makonda hadi umweke kuwa 10 bora Tz?
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Weka na waliyofanya, 9 na 10 wamefanya nini?
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Hapo Namb 6 weka bashiteee
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Mbona jina la mkulu halipo? Ondoa jina la Tundu Lisu ila wengine wabakie
 
Lengo lako umsfie makonda,na unajitahidi ku-neutrize kwa kuweka wapinzani pia ili kuwakamata watu wa pande zote.....

Makonda amefanya nin hasa hata mnapa hizo sifa?..==

Angetaja watu wakapatikanana hatia mim pia ningemuunga mkono....lakini ni upuumbav wa hali ya juu kumlinganisha makonda na watu kama Nyerere
 
1. Nyerere
2. Tundu Lisu
Wengine tupa kule hawana maslahi kwa taifa
 
Ooh serious!!??

Vipi kwenye kutokomeza rushwaa napenyewe alifanya vizuri zaidi ya wote?

Vipi kwanye usimamizi wa mali za uma kama vile wanyama pori, ni kwanini wamepungua kwa kasi kipindi chake?


Uhusiano wako na Kikwete ukoje? Nahitaji kujua.


Rushwa kaitokomeza sana Tena sana.

Wengine walikuwa wameminya uhuru wa Habari, wamelimiliki Bunge lisifurukute, walizuia Report za Ukaguzi za CAG zisiende Bungeni sasa.

Namna ya kutokomeza Rushwa

1) Kutoa uhuru wa Habari Watu kuwa huru kukosoa na kutaja wala Rushwa hata Rafikize wa Karibu Kama kina Ngoyai alikubali watoswe.

2) CAG alipewa Fungu kubwa la Fedha na Fursa ya kuweka hadharani Report yake na kujadiliwa.
3) Media zilikuwa huru sana ku report Matukio ya Rushwa na Ufisadi.

4) Wakati wa Jk ndio wakati Pekee tulishuhudia akifunga Gerezani Waliokuwa Mawaziri wake na Mawaziri wenzie Kama kina Mramba na Daniel Yona, haikupata tokea huko Nyuma japo Mawaziri wala Rushwa walikuwepo.

Rushwa hatokokezwi kwa Hotuba kali za Jukwaani, unawezaje kulinganisha Rushwa wakat wa Jk na kabla yak wakat wengine taarifa za Rushwa waliminya zisitoke.

Graduate waliohitimu wakat wa Jk ni wengi kuliko waliohitimu kuanzia 2005 mpaka kuanza kwa Dunia.
Vivyo hivyo kwny Sector kadhaa Mafanikio ni Makubwa sana.
N.B usishangae Awamu hii mkaambiwa imetokeza Rushwa zaid Kumbe wametokomeza Taarifa za Rushwa
 
No 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom