Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Huyo aliyepata ma fa fa fa fa faaaa.....au umetumia vigezo gan? Embu itazame hyo list vizur zn peruzi na kudadis elimu za waliowekwa hapo
Kapata fa fa fa lakini unaona anavyosumbua vichwa million venye PhD na professors
 
Kwa ishu ya kuvamia clouds
Makonda anatumia nguvu sio akili
Kwa hyo kwenye hyo list hakupaswa kuwepo
Anatumia akili sana kumconvice mkulu maana watanzania mil 40 tumeshindwa ila yeye kaweza, anastahili kuwepo hapo
 
Hapo 6 ungeweka daudi bashite ili viendane na no 5
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Balali alikuwa lini mwanasiasa? Mashilingi ndo nani? Kama ni yule mbunge wa zamani wa Muleba kusini anaitwa Wilson Masilingi.
 
Eti Makonda yupo top ten na Jk na Kinana hawajaingia Top ten
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.


Namba moja ni Kikwete.

Soma historia yake, hajapata uongozi kwa "bahati nzuri".
 
Wewe mwanamke, hivi kuna uhusiano gani wa karibu kati yako wewe na Kikwete?


AlhamduliLlah nilikuwepo toka Mkoloni, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli.

Sijaona wa kumlinganisha kwa ubora na Kikwete kati ya wote hao, hata nusu.
 
AlhamduliLlah nilikuwepo toka Mkoloni, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli.

Sijaona wa kumlinganisha kwa ubora na Kikwete kati ya wote hao, hata nusu.
Leo nimejua kwa nini ubongo wako haufai tena kwa matumizi...tangu mkoloni, loh!
 
Sijaona wa kumlinganisha kwa ubora na Kikwete kati ya wote hao, hata nusu.

Ni vizuri kuwa na mtu mzima kama wewe hapa jukwaani, una mengi ya kutujuza hasa yaliyotokea huko nyuma ambapo wengine hatukuwepo.

Ila hii comment yako hapo kwenye blue pamenipa ukakasi, hebu nipe sababu ubora wake ni upi hasa kiasi cha kuwazidi wengine mbali hivyo.

Alafu pia nimekuuliza mna uhusiano gani wa karibu kati yako wewe na Kikwete?
 
Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
9 na 6 mh napita
 
Ni vizuri kuwa na mtu mzima kama wewe hapa jukwaani, una mengi ya kutujuza hasa yaliyotokea huko nyuma ambapo wengine hatukuwepo.

Ila hii comment yako hapo kwenye blue pamenipa ukakasi, hebu nipe sababu ubora wake ni upi hasa kiasi cha kuwazidi wengine mbali hivyo.

Alafu pia nimekuuliza mna uhusiano gani wa karibu kati yako wewe na Kikwete?


Rais hupimwa kwa mafanikio yake akiwepo madarakani.

Kila nyanja utayoigusa, Kikwete kafanya zaidi kuliko wote.
 
Back
Top Bottom