Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe unazidiwa utashi na makonda? Ukimaliza hiyo tuanze kuweka vyeti kimoja baada ya kingine, nilienda shule kusoma sio kucheza nipo proud sana na elimu niliyopata....hata kwa akili ndogo huwezi fananisha nyerere na makonda afu unawaweka kundi moja. Rejea historia walikuwepo watu waliodhubutu na nia ya kweli sio makonda anayechukua mwanamke kichaa na kutengeneza maneno then wewe kwako anakuwa top 10.Mkuu usinidunishe na elimu yangu! Kwani naweza nikahitaji tuweke vyeti hapa mwisho wa siku usije ukanikimbia! Maana Mimi huwa sioni ugumu wowote wa kuweka vyeti hapa! Isitoshe hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya elimu ya mtu na uwezo wa akili alionao upo?
Sijamuona sir john kahama hapo au haumjuiKwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Inawezekana haujui maana ya kuwa na akili! Mimi nakushauri ukasome upya kwani unanipa wasiwasi na ukakasi mkubwa na elimu uliyonayo na namna ulivyoipata! But anyway! Huu ulikuwa mtazamo wangu kwa hiyo usilichukulie kwa uzito sana!Kwahiyo wewe unazidiwa utashi na makonda? Ukimaliza hiyo tuanze kuweka vyeti kimoja baada ya kingine, nilienda shule kusoma sio kucheza nipo proud sana na elimu niliyopata....hata kwa akili ndogo huwezi fananisha nyerere na makonda afu unawaweka kundi moja. Rejea historia walikuwepo watu waliodhubutu na nia ya kweli sio makonda anayechukua mwanamke kichaa na kutengeneza maneno then wewe kwako anakuwa top 10.
Hapo kwenye list kuna fala kapata zero. Means kashindwa kupata 21% kwenye masomo 4 kati ya 10 japo apate div 4.Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Nina jua maana ya akili, mtazamo wako upo wrong sana kuna watu wengi sana walithubutu katika historia ya Tz mpaka leo hii tupo hapa, sio huyu Paul Makonda kila kitu anachokiendesha nikwakutafuta kiki tu hakuna kingine hakuna udhubutu hapo hata kidogo......tafuta historia ya Tz usome kuna watu walioifanya Tz iwe hivi mpaka leo.Inawezekana haujui maana ya kuwa na akili! Mimi nakushauri ukasome upya kwani unanipa wasiwasi na ukakasi mkubwa na elimu uliyonayo na namna ulivyoipata! But anyway! Huu ulikuwa mtazamo wangu kwa hiyo usilichukulie kwa uzito sana!
Unadhani genius ni kushinda na makablasha kwenye vimbweta vya block F mabibo hostel haaaGenius anayeshindwa masomo sijawahi kumuona duniani
We pata picha mtu anayetuhumiwa kuwa alipata zero ndani ya miaka isiyozidi 5 amefikia level ya juu ya uongozi unadhani akili ni makaratasi yaliyowekewa number kisha yakawekwa kabatini ambapo hata wanaoishi ndani ya nyumba yako hawaelewi maana yake?Akili ya nyerere kisiasa ukiilinganisha na akili ya balali mwizi BOT ni kazi kizipima
Ila uchukua akili ya mwizi na mwizi ni rahsi kupima kwa kuangalia mbinu alizotumia kuiba,
Mtu kama makonda anakili gani mpaka aingie 10 bora, kama ni kufoj vyet kuna watu wana PHD forged
Hiyo namba 7 amefanya uthubutu Gani?Kwa mtazamo wangu hawa ndio watu ambao wana ufahamu na uelewa mkubwa zaidi kuwahi kutokea Tanzania tangu tupate Uhuru!
1.Mwalimu J.K. Nyerere
2.Kambona
3.Mashilingi
4.Andrew Chenge
5.Daudi balali
6.Paul makonda
7.prof Lipumba
8.Prof.Muhongo
9.Edward Ngoyai Laingwanani Lowassa
10.Tundu Lissu.
Binafsi Mimi nawakubali sana watu hawa kwa uwezo wao mkubwa wa kuhimili, kuchambua, kutenda mambo ambayo ni akili chache sana zenye asili ya kitanzania zenye uwezo wa kufikia angalau nusu ya uwezo wao! Watu hawa wamethubutu na wameweza! Heshima sana kwa watu hawa. NB najua kuna watu hawatakubaliana na mtazamo wangu lakini ukichunguza sana na ikiwezekana hata ukijichunguza wewe mwenyewe huwezi kufikia uthubutu wa watu hawa.
Well said!Unadhani genius ni kushinda na makablasha kwenye vimbweta vya block F mabibo hostel haaa
Hizo ni akili za ukasuku...zile zenye kuleta mambo mpaka unasimamisha dunia inayokuzunguka hazihitaji karatasi zinajidhihirisha tuAkili za darasani au mitaani? Kama ni darasani TO wapo wengi.
Sio za darasani mkuuAkili za darasani au mitaani? Kama ni darasani TO wapo wengi.