Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Wanasiasa kumi wenye akili nyingi kuwahi kutokea Tanzania

Unamjua mtu anaye itwa Prof Shivji
Bibi titi
Dr salim
Sokoine
Prof Maliyamkono
Hao wachache sijui kama wewe shabiki au mtafit
 
Weka Namba 4 awe 1,namba 6 awe 2,namba 3 awe Edward Lowassa,5.Edo Kumwembe
 
We pata picha mtu anayetuhumiwa kuwa alipata zero ndani ya miaka isiyozidi 5 amefikia level ya juu ya uongozi unadhani akili ni makaratasi yaliyowekewa number kisha yakawekwa kabatini ambapo hata wanaoishi ndani ya nyumba yako hawaelewi maana yake?
Haaaaa kweli bro umetisha umenifundisha kitu
 
Unamjua mtu anaye itwa Prof Shivji
Bibi titi
Dr salim
Sokoine
Prof Maliyamkono
Hao wachache sijui kama wewe shabiki au mtafit
Someone to have a knowledge is not a matter to perform well in the classroom! But if he/she use it to gain something or win the battle magistically also we term it as high level of knowledge and skills
 
Namba 6ndo stelling wa movie la mihadarati ambalo lipo season ya 4saiv Kama sikosei
 
Back
Top Bottom