Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jan 20, 2024 #21 Uzima Tele said: Jina lako tu MamaSamia2025 achilia mbali utumbo ulioandika linatia kichefuchefu.. Kwa sababu hata hujui wala kutambua kuwa Dr Slaa, Halima Mdee na Esther Bulaya si wanachama wa CHADEMA...!! Click to expand... Huenda covidal anataka kuona kama ameshapata baraka ya kuwa mamlukiš
Uzima Tele said: Jina lako tu MamaSamia2025 achilia mbali utumbo ulioandika linatia kichefuchefu.. Kwa sababu hata hujui wala kutambua kuwa Dr Slaa, Halima Mdee na Esther Bulaya si wanachama wa CHADEMA...!! Click to expand... Huenda covidal anataka kuona kama ameshapata baraka ya kuwa mamlukiš
U Unitman JF-Expert Member Joined Jul 14, 2021 Posts 511 Reaction score 671 Jan 20, 2024 #22 Kibaraka anatest zari !!kama kuna tume huru chadema inapata wabunge 150.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jan 20, 2024 #23 potokaz said: Na nani? Click to expand... Na kibibi ama na Mwakipesileš¤
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Jan 20, 2024 #24 imhotep said: Kama sio tishio mbona Mama yenu anataka kupora Uchaguzi? Click to expand... Hapo chacha
imhotep said: Kama sio tishio mbona Mama yenu anataka kupora Uchaguzi? Click to expand... Hapo chacha