Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kununua mfumo kwa 70Bln ni wizi mkubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi ni mzuri sana kufahamisha watanzania kinachoendelea,cha ajabu TISS wanakenua tu meno,E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili yao
ingekuwa pesa ya kujenga Bumbui its ok, lkn pesa ya kununulia VXR Mirupo hapana hii si sawa!!Makamba
Kuna kunguni najua wanatumika na hao madalali wa technology serikalini , hawatapenda kuona wanaongelewaHuu uzi ni mzuri sana kufahamisha watanzania kinachoendelea,cha ajabu TISS wanakenua tu meno,
Lingine hapa jukwaani wamejaa chawa wa hao wanataka kuua huo mfumo,ndio maana uzi wako hauna wachangiaji,
Binafsi mama sijaona shida yake ndio maana mpaka naandika hapa mama amewagomea , wanapambana sana wamruke mama anakazaUtasikia mitano tena kwa mama....
Wanaosema hivyo siyo wana nia njema nae ila wasaka Tonge na wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa..
Kama amegoma ngoja tuone maana waliomzunguka ni watu hatari...Binafsi mama sijaona shida yake ndio maana mpaka naandika hapa mama amewagomea , wanapambana sana wamruke mama anakaza
Mkuu kwa mkataba wa pesa ndefu kama hiyo rais lazima ajue. Haiwezi kulipwa bila rais kujua na mkataba hausaini bila rais kujua . Inshort na yeye yumo, anajua.Yes RAIS ni taasisi kubwa ana jua ndio maana hata sisi tunasema hapa , lakini haimaanishi ana endorse hio move.
wanasiasa waovu wanapambana kutaka kumruka asijue ujanja wao , lakini bahati nzuri kamba yao imejulikana
Mtakapo sikia jogoo akilia mara tatu kila mtu ndipo atakapo Kiri kweli alikuwa kiumbe toka sayari ya Mars.E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia...
Sikuwahi kuusoma nadhani sina hakika!Nakumbuka ule uzi: "Hii ndio Tanzania aliyoiona Oscar Kambona. Nyerere alikosea sana"
Baada ya shule ya huruma, leo EGovE-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili yao
E-GA kumbukumbu zangu zinaniambia ni ya mkurugenzi wa tcra,class mate wanguE-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia
Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.
Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.
Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili yao
Hivi unayajua majukumu ya TISS?..unadhani TISS ni polisi?Huu uzi ni mzuri sana kufahamisha watanzania kinachoendelea,cha ajabu TISS wanakenua tu meno,
Lingine hapa jukwaani wamejaa chawa wa hao wanataka kuua huo mfumo,ndio maana uzi wako hauna wachangiaji,
Nikuulize wewe hilo swali,unayajua majukumu yao?Hivi unayajua majukumu ya TISS?..unadhani TISS ni polisi?
Mtakapo sikia jogoo akilia mara tatu kila mtu ndipo atakapo Kiri kweli alikuwa kiumbe toka sayari ya Mars.
Kazi yao ni kimshauri rais,Sheria haiwaruhusu hata kukamata mhalifu,wakihitaji kukamata kisheria wanawataarifu polisi wakamkamate muhalifuNikuulize wewe hilo swali,unayajua majukumu yao?