DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa ujuzi wangu na navyowajua Ega hawana uwezo wa kutengeneza mifumo waliyonunua TRA wala TANESCO hata asilimia 10. Ile ni mifumo mikubwa inayotumika Duniani.

Ega ukiangalia tu website za serikali unaweza kujua ni watu wa uwezo gani halafu wapewe kutengeneza mifumo mikubwa kama ya TRA ama TANESCO kweli?

Sio kila kitu lazima kifanywe na wataalamu wetu wakuu. Vitu vingine viko juu ya wataalamu wetu.
Kwa hiyo kama hawana uwezo solution ni kuwapa wahindi? Je swala la usalama likoje?
Kwanini tusi wa train ma IT wetu wawe na huo uwezo?
 
Kwa ujuzi wangu na navyowajua Ega hawana uwezo wa kutengeneza mifumo waliyonunua TRA wala TANESCO hata asilimia 10. Ile ni mifumo mikubwa inayotumika Duniani.

Ega ukiangalia tu website za serikali unaweza kujua ni watu wa uwezo gani halafu wapewe kutengeneza mifumo mikubwa kama ya TRA ama TANESCO kweli?

Sio kila kitu lazima kifanywe na wataalamu wetu wakuu. Vitu vingine viko juu ya wataalamu wetu.
umewahi kuifanyia ukaguzi ukafahamu hilo lini ?
 
Utasikia mitano tena kwa mama....

Wanaosema hivyo siyo wana nia njema nae ila wasaka Tonge na wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa..
Ukiwakuta wanavopost huko Instagram 😂

1)Nani kama mama
2)mama mfarijii wetu
3)jemedari


Kumbe ni wasaka tonge tu kulinda nafasi zao na maslahi 😊😊 hao ni wakupiga chini wote

Wanamsifia mpk Rais anaona hapa sasa mmezidisha unafiki
 
E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.

Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia

Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.

Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.

Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).

Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.

Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili yao
Mkurugenzi pole sana!
 
Ukiwakuta wanavopost huko Instagram 😂

1)Nani kama mama
2)mama mfarijii wetu
3)jemedari


Kumbe ni wasaka tonge tu kulinda nafasi zao na maslahi 😊😊 hao ni wakupiga chini wote

Wanamsifia mpk Rais anaona hapa sasa mmezidisha unafiki
kumsifia rais sioni tatizo , same as wanaomkosoa sio tatizo.
Huwezi jua anayemsifia ameguswa vipi na uongozi wa raisi , same to wanaomkosoa , huwez jua wamekwazwa vipi na uongozi wake.
Kwa hio kila mtu ashinde mechi zake, hao wanao kosoa waongeze speed, na wanao sifia wasifie zaid
 
Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.
Mfumo wa tanesco marope alivyosema tuu vile nikajua wanaanza kutafuta pesa za uchaguzi hawa vyura wa kijani.
All in all mkurugenzi wenu wa E-GA hali na watu wengi au yuko upande wa kundi hasimu ndio maana wanataka kumng'oa
 
Hivi mfumo ule wa tanesco uliweka na makamba juzi kupitia kampuni ya kihindi lwa sh 70b umeshakufa tena jamani mpaka uwekwe mwingien
Nilitaka kumuuliza tweeter kumbe kanipiga tofari😅😅😅
 

Attachments

  • Screenshot_20230524-091716_Twitter.jpg
    Screenshot_20230524-091716_Twitter.jpg
    66.9 KB · Views: 21
kumsifia rais sioni tatizo , same as wanaomkosoa sio tatizo.
Huwezi jua anayemsifia ameguswa vipi na uongozi wa raisi , same to wanaomkosoa , huwez jua wamekwazwa vipi na uongozi wake.
Kwa hio kila mtu ashinde mechi zake, hao wanao kosoa waongeze speed, na wanao sifia wasifie zaid
Mnasifia kwa kua mmeteuliwa mnahofia nafasi zenu kulinda maslahi tu

Mmeguswa kwa kua mnalamba asali siku mkitolewa kwenye hizo nafasi nyie ndio mnakua maadui zake wakubwa
 
Back
Top Bottom