DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama ni kweli, maana inaweza kuwa ni tetesi au uzushi, nchi yetu, shida ni nini? Mbona kila kitu chema kinapigwa vita? Mambo mabaya mabaya ndio yanapewa platform kama vile hatujali kesho yetu itakuwaje?
Inasikitisha sana. Muomba Mungu hachoki. Ipo siku Mwenyezi Mungu atanyoosha mkono wake atutendee haki. Haiwezekani kabisa wachache waharibu na kama vile haki haipo, waendelee kupeta. CAG na ripoti yake ni mfano halisi
Hiyo ni kweli mkuu, tanesco walitumia mabilion ya pesa kwa ajili ya huo mfumo na ilisha jadiliwa hapa kipindi flani.
 
out of respect , ni washenzi sana wanaofanya hio mipango kama ni kweli.
ili iweje sasa , they should atleast leave it for poor kids wafanye tech issues.
E-GA ndio sehemu pekee ambapo ukiajiriwa unaenda kufanya kazi kweli , hakuna watoto wa wakubwa pale , hio mifumo ikitengenezwa nje ya nchi sas si tuna expose siri za nchi nje au ndo tumeamua kuuza nchi
Kuna kitu kinaiywa 10% unakijua wewe? Wamwachie eGA alafu wao wale wapi? Wamwachie eGA alafu pesa za kampeni wapate wapi?
 
out of respect , ni washenzi sana wanaofanya hio mipango kama ni kweli.
ili iweje sasa , they should atleast leave it for poor kids wafanye tech issues.
E-GA ndio sehemu pekee ambapo ukiajiriwa unaenda kufanya kazi kweli , hakuna watoto wa wakubwa pale , hio mifumo ikitengenezwa nje ya nchi sas si tuna expose siri za nchi nje au ndo tumeamua kuuza nchi
Nchi hii unatukana kwa hili tu ? utatukana sana , kuna upuuzi mwingi sana hua unaendelea
 
Wanasiasa wanapigia kelele sana ishu ya PPP kwa sasa! Maana wanajua ulaji wao upo humo!

Nilishangaa kusikia kuwa Wakorea wapo TRA wanaweka mifumo ya kodi na kuilink na mifumo ya Bandari! Ilhali EGA wapo na wana wataalamu kibao wazawa wenye uwezo wa kujenga mifumo.

Zile zama za upigaji zimerudi kwa kasi sana
 
Hata kama ni kweli, Ila sidhani Kama E-GA is that competent. So isiangaliwe Kama wanasiasa wanataka iua Ila efficiency ndo inatafutwa. Sasa why hatuwezeshi vya ndani Hilo sijui
 
Hata kama ni kweli, Ila sidhani Kama E-GA is that competent. So isiangaliwe Kama wanasiasa wanataka iua Ila efficiency ndo inatafutwa. Sasa why hatuwezeshi vya ndani Hilo sijui
Nini kifanyike ? Toa maoni yako alafu tuma salamu kwa watu wawili
 
Nini kifanyike ? Toa maoni yako alafu tuma salamu kwa watu wawili
Kwa chap chap ninavyofikiri,bila kuathiri Sheria za nchi maana sijui taratibu za nchi kuhusiana na usalama wa taarifa zake, nadhani waanze kwa kununua systems/programs duniani then wa customize to fit the need. Then pale watakapokua fit waanze kuzidevelop from scratch. Hii ya ku develop from scratch naona yaweza kuwa shida zaidi.
Mtazamo wangu
 
tenda wanapewaa wapigaa diliii... sijaonaa kipyaa maana mambo ndivyo yalivyoo kwa sasa.
 
Sio kinachoendelea E-GA, hata ega wenyewe hawajui ni beyond their reach , game linachezwa beyond their level .
Zaid zaidi waombe Mungu na kusali sana , watu waujue ukweli haraka
Uzi ukirudi hebu nitag mkuu
 
Complexity ya hiyo mifumo naijua mkuu. ERP za TANESCO na TRA ni very very complex. Bado hatuna technological capability ya kuiunda hiyo mifumo.
Hapo ndio unapofeli, hakuna mfumo complex, na Tanzania hii tuna watu lukuki wa kuweza kufanya hii mifumo

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa, mfumo haui imara ndani ya siku moja, hata wao wanaoleta mifumo nchini hawakutengeneza ndani ya siku moja, it took them years mpaka wakafika point na kukubali mifumo yao iko stable kutumiwa na nchi zingine

Kwa hiyo na sisi tukiwapa muda wataalam wetu, with time mfumo utakua stable na tutaweza hata kuuza nchi zingine

Tatizo letu kila mwanasiasa akishika nafasi anataka kuja na kitu chake wakiangalia matumbo bila kujali ubora wa kitu anachokikuta.
 
Back
Top Bottom