DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

DOKEZO Wanasiasa na mipango ovu ya kuiua eGA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa ujuzi wangu na navyowajua Ega hawana uwezo wa kutengeneza mifumo waliyonunua TRA wala TANESCO hata asilimia 10. Ile ni mifumo mikubwa inayotumika Duniani.

Ega ukiangalia tu website za serikali unaweza kujua ni watu wa uwezo gani halafu wapewe kutengeneza mifumo mikubwa kama ya TRA ama TANESCO kweli?

Sio kila kitu lazima kifanywe na wataalamu wetu wakuu. Vitu vingine viko juu ya wataalamu wetu.
Kuna wakati naona Serikali wanawekeza Fedha kutengeneza mifumo ambayo ni Useless.

Mf. Mfumo wa eMrejesho... Nimetuma Mrejesho wangu una zaidia ya Miezi 2 haujapitiwa.
 
E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.

Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia

Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.

Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.

Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).

Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.

Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili

************************* UPDATES********************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.

1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.

3. Wakisha kubaliana bungeni, E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA.

4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.


Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Sasa Nape ashutuke nini WAKATI ni mmoja wa Majambazi wa Awamu ya TOZO
 
Hapa ninatofautiana na wewe, Rais hawezi kuwa mwanasheria, mtaalamu wa IT , hakimu etc.
Lakini kuna wasaidizi wake ambao wanapaswa wamshauri kwenye maeneo hayo yote .
Hao ndio wanaweza kumpotosha .
Kwa hili la E-GOV kuna genge ambalo limeapa limpotoshe makusudi ili limshushie credibility maana akiifuta tu E-GOV au akiiweka kwenye namna ambayo itadhoofika watu watamlaumu Rais .
Na hapo ndipo sisi tunamshtua Rais asiingie kwenye huo mtego
Anapojua nikweli wanamuingiza chaka huwa anachukua hatua gani?... kwani CAG kasemaje kuhusu wizi unaofanyika serikalini.ikiwemo kununua mabehewa used kwa bei ya mpya na Mkurugenzi even now yupo ofisini? acheni kumtetea mama yenu Cha muhimu tumlazimishe tupate Katiba Mpya tuweke mifumo mipya yakuongoza hii Nchi bila hivyo hakuna kitu kitaenda
 
E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.

Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa wazawa. Zaidi sana taarifa na usiri ama unyeti wa taarifa za serikali umeongezeka baada ya mifumo ya ndani kuanza kutumia

Nini kinaendelea kwa sasa?
wanasiasa kadhaa ambao sitawataja leo wanaratibu mpango wa kuiua E-GA ili mifumo ya serikali ianze kutengenezwa nje /ku out source kwa jina la kiluguru.

Je hawa wanasiasa wananufaikaje?
wanasiasa hawa wamesha weka hisa zao kwenye kampuni kadhaa ndani na nje ya nchi ambazo wakisha iua EGA , watazipa kandarasi hizo kampuni ambazo nyuma ya pazia ni zao , wanakuja kwa mgongo wa sekta binafsi lakini ukweli sio sekta binafsi , ni matumbo binafsi.

Mpaka sasa wamefanikiwa kuwang'oa E-GA TRA , tayari TRA anakamilisha ununuzi wa mfumo kwa zaidi ya Bilion 12 za kitanzania(TZS).

Mfumo mwingine TANESCO upo njiani.

Hali ni mbaya sana, wanamtafuta Mkurugenzi wa E-GA ikibidi auawe maana anakwamisha madili

************************* UPDATES********************
Taarifa Mpya tulizozipata zinaeleza juu ya uhusika ya Viongozi waandamizi toka taasisi mbalimbali za serikali na wanasiasa kadhaa kusuka mpango huu wa kuifuta E-GA . Script iko kama hapa chini.

1.E-GA iwe moved from ofisi ya rais utumishi kwenda Wizara ya TEHAMA chini ya Waziri Nape Nnauye.
2. Ikishafika wizara ya TEHAMA , haraka haraka mswaada wa kuninafsisha mashirika na taasisi kadhaa za umma utapitishwa , na moja ya taasisi za kubinafsishwa itakua ni E-GA.

3. Wakisha kubaliana bungeni, E-GA itachukuliwa rasmi na kikundi flani ambacho kitakua kimetegesha Kampuni flani kuimeza E-GA.

4. Watumishi waliopo E-GA baadhi watasambazwa kwenye taasisi mbali mbali wengine watabaki kwenye hio kampuni binafsi , kama ilivyo kwa AIRTEL ambapo serikali ina share kadhaa.


Rai yangu: Waziri Nape Nnauye huu ni mtego unategewa , ng'amuka mapema , unaangushiwa jumba bovu .
NOTE: Majina ya wahusika yapo tayari , hayatakua shared hapa kulinda policy za platform hii.
Ndio maana kazi walizotangaza TRA unaomba kupitia website yao na sio Ajira portal ya serikali?
 
Mkuu huwezi mdanganya rais kiivo. Kwanza TISS watakua wamelala wapi mpaka waruhusu ujuha kama huo? Ukiona issue kama hizo zinafanyika jua rais lazima ajue.
Miongoni mwa vitu vya KIJINGA kabisa ambavyo wadanganyika wanafanya ni kumuepusha Rais na uchafu unaofanyika hii haiwezekani?
Sababu ana tools nyingi zakujua kila kinachoandelea
 
Wanasiasa wanapigia kelele sana ishu ya PPP kwa sasa! Maana wanajua ulaji wao upo humo!

Nilishangaa kusikia kuwa Wakorea wapo TRA wanaweka mifumo ya kodi na kuilink na mifumo ya Bandari! Ilhali EGA wapo na wana wataalamu kibao wazawa wenye uwezo wa kujenga mifumo.

Zile zama za upigaji zimerudi kwa kasi sana
Kwani zama za upigaji ziliondoka lini hapa Bongo
 
Hii tabia imerudi [emoji33], upumbavu huu JPM aliukomesha. Ama kweli tutamkumbuka [emoji22].
Wewe wacha huu ujinga jiwe hakuna alichoweza kuzuia upigaji alichofanikiwa ni kuzuia wasiomuunga mkono kupiga lkn waliokuwa upande wake walitafuna mpaka wengine hawakutosheka walikuwa wanatengenezea watu kesi wapige kwenye Plea bargain... Not that
 
Hapa naona mnachanganya mambo.

Mtoa mada ametoa dokezo kwamba Ega inaenda kupigwa chini yaani wanatolewa wanarudishwa "wapigaji" ,kuna tofauti ya kununua mifumo kutoka kwa wapigaji na wapigaji kuendesha mifumo baada ya kununua.

Ega kununua mifumo na kuiendesha wao siyo tatizo hata mabenk na taasisi mbalimbali zinanunua mifumo ,hata oracle/window ni mifumo ya nje hatuna OS zetu tulizodevelop sisi watanzania nadhani ushaanza kuelewa nini maana ya mfumo.

Kumbuka zamani malipo ya serikali yalikuwa "manually aka makaratasi" ,JIWE akaanzisha mfumo wa EGA(control number) lengo kwamba malipo yote ya serikali yanaratibiwa hapo hivyo baadhi ya aggregator(3rd parties) wakaondolewa some of them ni MaxMalipo ,Selcom .....Hao ndio walikuwa wanapiga pesa before Ega ,kwasasa hayo makampuni yanapumulia mashine hivyo wanasiasa wanafanya lobbying warudishwe hao 3rd parties ili waendelee kupiga pesa.

Wabunge msiturudishe kwa wapigaji ,EGA iendelee kufanya kazi haiwezekani mapato ya serikali yakusanywe na 3rd party(Mtu kati aka dalali).
Kwanza mfumo wa E-GA haukuanzishwa na JIWE ulianzishwa na MKWERE nilimsimkia siku akiwa kwenye Interview na Clouds... halafu unaomba wabunge watusaidie unamaanisha wabunge wepi? hawa waliopitisha bajeti ya Wizara ya Ardhi KIJINGA?
 
Kwa hapa tulipofika nadhani ni serikali kufanya maamuzi ya kugharamia kuwapeleka vijana wa kitanzania ambao ni IT kwenye vyuo vyenye ubora huko nje tunakoamini kwamba wako mbele kidogo ktk sayansi yenye kuhusiana na IT ili wakapate ujuzi ambao utaendena na technologie ya sasa kwenye mifumo

gharama ya kusomesha haitakuwa ghali ukilinganisha na gharama ya kununua mifumo na tena kupitia hao watakaokuwa wamepata elimu basi watakaofanya nao kazini maofisini nao watajifunza hivyo mwisho wa siku tutakuwa tunazalisha wataalamu endelevu kila miaka inaposonga.
ushauri mzuri sana huu
 
Wabongo wapo wazuri sn tena mno. ..shida wengi niwatoto wamaskini hawana network yakutosha. .wengine wameachakabisa IT nakwenda kufanya kilimo
mazingira yanabanwa sana kama hivi ,watu wanakatishwa tamaa na kuamua kuanza career tofauti
 
Hapa naona mnachanganya mambo.

Mtoa mada ametoa dokezo kwamba Ega inaenda kupigwa chini yaani wanatolewa wanarudishwa "wapigaji" ,kuna tofauti ya kununua mifumo kutoka kwa wapigaji na wapigaji kuendesha mifumo baada ya kununua.

Ega kununua mifumo na kuiendesha wao siyo tatizo hata mabenk na taasisi mbalimbali zinanunua mifumo ,hata oracle/window ni mifumo ya nje hatuna OS zetu tulizodevelop sisi watanzania nadhani ushaanza kuelewa nini maana ya mfumo.

Kumbuka zamani malipo ya serikali yalikuwa "manually aka makaratasi" ,JIWE akaanzisha mfumo wa EGA(control number) lengo kwamba malipo yote ya serikali yanaratibiwa hapo hivyo baadhi ya aggregator(3rd parties) wakaondolewa some of them ni MaxMalipo ,Selcom .....Hao ndio walikuwa wanapiga pesa before Ega ,kwasasa hayo makampuni yanapumulia mashine hivyo wanasiasa wanafanya lobbying warudishwe hao 3rd parties ili waendelee kupiga pesa.

Wabunge msiturudishe kwa wapigaji ,EGA iendelee kufanya kazi haiwezekani mapato ya serikali yakusanywe na 3rd party(Mtu kati aka dalali).
Kuna halmashauri sasa hivi zime-outsource kukusanya mapato, imenichekesha Sana. Halmashauri zimeipa kampuni binafsi kukusanya mapato. Fatilia sasa mwenye hiyo kampuni

Bado nawaza raisi, waziri na viongozi wengine wameweza kukubali vipi kitu kama hiki?
 
Kwanza mfumo wa E-GA haukuanzishwa na JIWE ulianzishwa na MKWERE nilimsimkia siku akiwa kwenye Interview na Clouds... halafu unaomba wabunge watusaidie unamaanisha wabunge wepi? hawa waliopitisha bajeti ya Wizara ya Ardhi KIJINGA?
EGA imeanzishwa 2019, Ila kabla ya hapo kulikua na hiyo wakala wa serikali mtandao. Ni kitu kimoja japo majukumu yalikuja kuboreshwa na kutungiwa Sheria zingine

Serikali mtandao imeanzia mbali kabla hata ya JK, ni toka enzi ya mkapa. Ila kila awamu kulikua na maboresho

Muhimu tuairudi nyuma, badala ya kuidhohofisha EGA, kwa sasa ndio ilipaswa ipewe nguvu zaidi maana teknolojia imekua kwa kasi.
 
Back
Top Bottom