Serikali yoyote duniani Ina kitengo cha uuaji!
Kitengo rasmi Cha kuwashughulikia wahuni, wenye kuhatarisha usalama wa raia, amani ya Nchi, au wenye kuhatarisha mustakabali na utulivu wa serikali inayotawala!
Leo hii tunaona serikali inavyowashughulikia raia wake kwa kututanabaisha kuwa wao ni panya road! Na Jamii inafurahi! Na tutake tusitake, wapo wanaouawa humu si panya road! Haya Ni mauaji ya serikali, na damu hii inabebwa na mtawala husika!
Huo ni mfano tu wa mauaji yaliyo wazi na halisi, yapo yaliyo gizani pia! Serikali yoyote humwaga damu za raia wake!
Point yangu ni nini?
Point yangu Ni kuwakumbusha wanasiasa wasijione spesho kuliko wengine! Kama serikali imeweka idara za kuua raia, basi wawe tayari kushughulikiwa Kama wamebainika kuwa hatari kwa amani na usalama wa Nchi, au wanadhalilisha serikali yao. Ni kosa la kiusalama kudhalilisha serikali!
Leo hii tunaona ni sahihi kuua panya road, lakini uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuwa mwanasiasa Fulani, au mfanya biashara mkubwa anafadhili genge la panya road ili kuharibu taswira ya Nchi, basi hapo tungelalamika Sana iwapo mwanasiasa huyo angeuawa!
Wanasiasa wajue hawana thamani yoyote mbele ya Mungu ya kuwazidi raia wengine. Nanyi munastahili kuuawa Kama raia wengine! Kama hamustahili Basi na raia wengine wasiuawe pia!
Leo hii kelele ni nyingi za kumsema JPM Ni muuaji. Ukiuliza amemuua nani? Unatajiwa Ben saanane, Azori, na risasi za Lisu. Hawa Ni wanasiasa. Mauaji kule kibiti hayatajwi, kwasababu tu hakuna mwanasiasa aliyekufa.
Kama Ben saanane ameuawa bila hatia, dhambi yake Ni sawasawa na "panyaroad" aliyeuawa bila hatia!
Kama Lisu alipigwa risasi bila hatia, dhambi yake ni ileile ya kumpiga risasi "panyaroad" asiye na hatia!
Tutulie, tuendelee kushuhudia mauaji ya raia kwa raia, Serikali kwa raia!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kitengo rasmi Cha kuwashughulikia wahuni, wenye kuhatarisha usalama wa raia, amani ya Nchi, au wenye kuhatarisha mustakabali na utulivu wa serikali inayotawala!
Leo hii tunaona serikali inavyowashughulikia raia wake kwa kututanabaisha kuwa wao ni panya road! Na Jamii inafurahi! Na tutake tusitake, wapo wanaouawa humu si panya road! Haya Ni mauaji ya serikali, na damu hii inabebwa na mtawala husika!
Huo ni mfano tu wa mauaji yaliyo wazi na halisi, yapo yaliyo gizani pia! Serikali yoyote humwaga damu za raia wake!
Point yangu ni nini?
Point yangu Ni kuwakumbusha wanasiasa wasijione spesho kuliko wengine! Kama serikali imeweka idara za kuua raia, basi wawe tayari kushughulikiwa Kama wamebainika kuwa hatari kwa amani na usalama wa Nchi, au wanadhalilisha serikali yao. Ni kosa la kiusalama kudhalilisha serikali!
Leo hii tunaona ni sahihi kuua panya road, lakini uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuwa mwanasiasa Fulani, au mfanya biashara mkubwa anafadhili genge la panya road ili kuharibu taswira ya Nchi, basi hapo tungelalamika Sana iwapo mwanasiasa huyo angeuawa!
Wanasiasa wajue hawana thamani yoyote mbele ya Mungu ya kuwazidi raia wengine. Nanyi munastahili kuuawa Kama raia wengine! Kama hamustahili Basi na raia wengine wasiuawe pia!
Leo hii kelele ni nyingi za kumsema JPM Ni muuaji. Ukiuliza amemuua nani? Unatajiwa Ben saanane, Azori, na risasi za Lisu. Hawa Ni wanasiasa. Mauaji kule kibiti hayatajwi, kwasababu tu hakuna mwanasiasa aliyekufa.
Kama Ben saanane ameuawa bila hatia, dhambi yake Ni sawasawa na "panyaroad" aliyeuawa bila hatia!
Kama Lisu alipigwa risasi bila hatia, dhambi yake ni ileile ya kumpiga risasi "panyaroad" asiye na hatia!
Tutulie, tuendelee kushuhudia mauaji ya raia kwa raia, Serikali kwa raia!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app