Wanasiasa ombeni msamaha, Tulitumika vibaya mwaka 2015-2020 Kueneza Chuki

Wanasiasa ombeni msamaha, Tulitumika vibaya mwaka 2015-2020 Kueneza Chuki

kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide.....it was just the matter of time tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe
... kama ni ndege, ndio taratiiibu ilikuwa inatembea kuelekea runway kusubiri order ya kuanza mbio tayari kuruka!
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Acheni unafiki makosa ya Ole sabaya ni yapi, makosa ya Hapi ni yapi? makosa ya Chalamila ni yapi? najua mnajiliwaza kwa kuwa wabunge wenu walishindwa chaguzi katika hiyo mikoa na walikuwa ni wabunge vigogo wa SACCOSS yenu, pia siku hizi bila aibu mumekuwa mkijikomba sana kwa mama, mama hayafanyi hayo eti kwa ajili yenu naye ana yake ndio mjua hivyo,sio kuwa anawapenda sana.
 
Acheni unafiki makosa ya Ole sabaya ni yapi, makosa ya Hapi ni yapi? makosa ya Chalamila ni yapi? najua mnajiliwaza kwa kuwa wabunge wenu walishindwa chaguzi katika hiyo mikoa na walikuwa ni wabunge vigogo wa SACCOSS yenu, pia siku hizi bila aibu mumekuwa mkijikomba sana kwa mama, mama hayafanyi hayo eti kwa ajili yenu naye ana yake ndio mjua hivyo,sio kuwa anawapenda sana.
Wasiojielewa kama wewe ndiyo tatizo la nchi hii. Rudi shule hujachelewa . Kuwa na vyama vingi ktk mfumo wa uendeshaji nchi si uadui wala chuki . Kama alivyoamini Jiwe wenu na vikaragosi wake . Kufikia Kuwaita wapinzani maadui
 
Huu ukweli mchungu wanasiasa wakubali kuomba msamaha tu.
Kuwa halikuwa lengo kuwanyanyasa/kuwakandamiza watu ila ni amri kutoka kwa mwendazake.
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Mbeya mjini veepee
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Kusema kweli 2015 to March 17 2021.
Watanzania tulikuwa kwenye wakati mgumu sana.

Kama kuna mtanzania anatamani kurejea enzi hizo mmh Mungu amponye.
 
Acheni unafiki makosa ya Ole sabaya ni yapi, makosa ya Hapi ni yapi? makosa ya Chalamila ni yapi? najua mnajiliwaza kwa kuwa wabunge wenu walishindwa chaguzi katika hiyo mikoa na walikuwa ni wabunge vigogo wa SACCOSS yenu, pia siku hizi bila aibu mumekuwa mkijikomba sana kwa mama, mama hayafanyi hayo eti kwa ajili yenu naye ana yake ndio mjua hivyo,sio kuwa anawapenda sana.
Huyo sabaya wako amesimamishwa hajasimamishwa tuanzie hapo kwanza!!
 
kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide.....it was just the matter of time tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe
Na hayakutokea kwa sababu wananchi waliretreat kwenye maandamano ya UKUTA na uchaguzi wa 2020 vinginevyo tungekuwa tunaomboleza mpaka sasa.

Mungu alikuwa na njia nyingine ya kutuokoa.

Asante Mungu muweza wa yote
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
msamaha hautoshi, wajiuzulu maana wakibaka uchsaguxzi.
 
Kusema kweli 2015 to March 17 2021.
Watanzania tulikuwa kwenye wakati mgumu sana.

Kama kuna mtanzania anatamani kurejea enzi hizo mmh Mungu amponye.
Mpaka mtu unaogopa kumtaja kiongozi wako jina !!. Mpaka ulimwengu ukatunyoshea mkono kwa ajili ya u dictator !!

Kumbe mtu moja anaweza kubadilisha uelekeo wa taifa !!??. MUNGU NI FUNDI NA ANAIPENDA TANZANIA
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Tupo tayari kabisa kukusamehe. Ila dhambi moja hujaigusa. Ni ile ya kura za uchaguzi, nini kilitokea?
 
Acheni unafiki makosa ya Ole sabaya ni yapi, makosa ya Hapi ni yapi? makosa ya Chalamila ni yapi? najua mnajiliwaza kwa kuwa wabunge wenu walishindwa chaguzi katika hiyo mikoa na walikuwa ni wabunge vigogo wa SACCOSS yenu, pia siku hizi bila aibu mumekuwa mkijikomba sana kwa mama, mama hayafanyi hayo eti kwa ajili yenu naye ana yake ndio mjua hivyo,sio kuwa anawapenda sana.
tulia kunywa water gadi uko less Sana
 
Back
Top Bottom