Wanasiasa ombeni msamaha, Tulitumika vibaya mwaka 2015-2020 Kueneza Chuki

Wanasiasa ombeni msamaha, Tulitumika vibaya mwaka 2015-2020 Kueneza Chuki

Jiwe c kashaondoka? Tutaona sasa nchi itakavyokua, Tupo hapa
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Umeomba wewe inatosha .;!
Na wao wakiona wanapaswa kuomba wataomba.
 
Hawa wanaantaliaga upepo tu ili wapewe nyadhifa wale hawana lolote

Nakuambia


Akija kiongozi mwingine wa tofauti na mama naye atafunguka nakujiosha ili tu apate nafasi
... hapo ndipo umuhimu wa kauli ya Mama ya kuteua mtanzania yeyote bila kujali uchama, ukabila etc. as long as ana uwezo kwa kazi husika. Hii mijitu ya kujipendekeza ili kupata vyeo ni hatari mno!
 
Wanabodi, Naweza kusema ni mwisho wa enzi. Lengai Ole Sabaya angeomba msamaha mapema na kukubali makosa angeishi kwa amani, Alitegemea nguvu za mwanadamu kumshika mkono wakati hana mkataba na aliyemleta huyo mtu Duniani

Ni ukweli na unaumia pale unapoomba msamaha wa kweli kwa maovu na mabaya ni kama unakubali kushindwa na kujidharau mbele ya jamii

Mimi ni mwana ccm na nimetumika sana kwenye Propaganda chafu na safi, Lakini mwaka 2015 mpaka mwaka 2020 ilihitaji kujitoa ufahamu na kuwa mnafiki kwa kueneza chuki na kuligawa Taifa kwani hiki ndio ilikuwa kigezo cha mafanikio ya uongozi na kubaki madarakani

Hii kauli ya kuligawa Taifa na kibri Bwana Lengai Ole Sabaya alitekeleza kwa vitendo kwa kupora, kutukana, kuharibu, kukwapua na kutisha, Wale wote ambao sio wana ccm Waliitwa sio wazalendo kama sera na itikadi ya mwaka 2015 hadi 2020 ilivyohitaji kukufanya ubaki madarakani

Niliomba msamaha kwa uzi huu na nina amani sana

Wafuatao wameongea kauli za dharau kubwa sana mbele za wananchi lakini bado wanashupaza shingo hawaombi msamaha

Ally Happy -Mkuu wa mkoa wa Iringa, Huyu ni tatizo na sio tatizo dogo ni Janga la Taifa, Bado amejaa dharau kama tulivyokuwa sisi wakati tukila mema ya nchi na kumsifia mwanadamu mwenzetu kama vile Yeye ndie ameshikilia maisha yetu. Ameshupaza shingo hataki kuomba msamaha

Kasesera-Huyu alijisahau akatukana wananchi lakini akaomba msamaha wa kijanja janja lakini hafai anahitaji atubu mbele ya jamii

Humprey Pole Pole na Bashiru Ally, Hawa wanapaswa kuomba msamaha mkuu kwa chuki kubwa na dharau, Wakati wa uongozi wao wameligawa Taifa pande mbili waunga juhudi na wasiounga juhudi, Wasiounga juhudi wote walifunguliwa kesi, kubambikiwa makosa na kudhulumiwa biashara zao. Wameharibu uchaguzi Kwa kivuli cha uzalendo na kukatisha tamaa wananchi kwenye chaguzi zingine, Hawa ni moja ya watu wasiofaa kabisa kubaki madarakani lakini bado ni wabunge, Inasikitisha sana

Ni muda muafaka hawa watu wakubali makosa, Walitumika hovyo na kujiona wao wafalme the kati ya mwaka 2015 hadi mwaka 2020.Historia itabaki hivyo kuwa mwaka 2015 mpaka 2020 katiba, Sheria na taratibu hazikufuatwa na watawala bali ilitumika mikono ya chuma kuzima uhuru na haki za Raia
Ole Ndugai atemwe ni mshenzi sana huyu mtu.
 
... hapo ndipo umuhimu wa kauli ya Mama ya kuteua mtanzania yeyote bila kujali uchama, ukabila etc. as long as ana uwezo kwa kazi husika. Hii mijitu ya kujipendekeza ili kupata vyeo ni hatari mno!
Kwa kweli
 
Back
Top Bottom