Wanasiasa wa Upinzani, jiandaeni basi walau hata kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani

Wanasiasa wa Upinzani, jiandaeni basi walau hata kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kiujumla, upinzani umekata tamaa kabisa, licha ya ukweli kwamba ukata wa fedha za kufanya mikutano ya hadhara, umekita mizizi kwenye vyama vyao.

hakuna uhakika wa chochote katika chaguzi zijazo, licha ya kwamba mazingira sawa ya kufanya siasa yamewekwa na serikali iliyopo madarakani.🐒

kulalamika, stori na porojo za kujiliwaza tangu mwanzo, hadi mwisho wa mikutano yao, ndio umekua mtindo wa siasa zao.

No way forward at all. hata wanaojipiga kifua kwamba ndio wanafaa kua viongozi wanajionea aibu wenyewe. hawaaminiani, hawaaminiki, hawaeleweki na hawakubaliki kwa wananchi pande zote nchini.🐒
 
Wajiandae halafu kwenye kupiga kura hamuwapigii na wakiibiwa kura mnakaa kimya as if hamjapiga kura, maana yake nini?
 
Wajiandae halafu kwenye kupiga kura hamuwapigii na wakibiwa kura mnakaa kimya as if hamjapia kura, maana yake nini?
walau kuishi kama viongozi hata kama hawatapata kura 🐒
 
kiujumla, upinzani umekata tamaa kabisa, licha ya ukweli kwamba ukata wa fedha za kufanya mikutano ya hadhara, umekita mizizi kwenye vyama vyao.

hakuna uhakika wa chochote katika chaguzi zijazo, licha ya kwamba mazingira sawa ya kufanya siasa yamewekwa na serikali iliyopo madarakani.🐒

kulalamika, stori na porojo za kujiliwaza tangu mwanzo, hadi mwisho wa mikutano yao, ndio umekua mtindo wa siasa zao.

No way forward at all. hata wanaojipiga kifua kwamba ndio wanafaa kua viongozi wanajionea aibu wenyewe. hawaaminiani, hawaaminiki, hawaeleweki na hawakubaliki kwa wananchi pande zote nchini.🐒
Chadema ni jeshi la mtu mmoja! Hatuhitaji vyama mamluki kuja kuturudisha nyuma! Daima mbele,nyuma mwiko! Na chaguzi zote Chadema tumeporwq ushindi wetu,ila chaguzi za mwaka huu na ujao 2025, haibiwi mtu kura! Tumejipanga! Na tumejipanga hawataiba uchaguzi kama ilivyokuwa 2020.
 
Chadema ni jeshi la mtu mmoja! Hatuhitaji vyama mamluki kuja kuturudisha nyuma! Daima mbele,nyuma mwiko! Na chaguzi zote Chadema tumeporwq ushindi wetu,ila chaguzi za mwaka huu na ujao 2025, haibiwi mtu kura! Tumejipanga! Na tumejipanga hawataiba uchaguzi kama ilivyokuwa 2020.
ok sawa,
jeshi la mtu moja kura moja 🐒
 
Back
Top Bottom