Watanzania sijui tuseme kuna kitu hakipo sawa kwenye vichwa vyetu.
Marais wastaafu wawili waliisha andika vitabu kuhusu maisha yao tangu utotoni mpaka madarakani.
Wameonyesha kwenye maandishi jinsi CCM inavyotumia kila aina za mbinu za hila ili ibaki madarakani.
Mkapa ameonyesha jinsi CCM inavyobana isiwepo Tume huru ambayo itatokana na katiba mpya maana utakuwa mwiba kwa CCM.
Vivyo hivyo kwa Mwinyi jinsi CCM inavyotumia kila aina ya mbinu isiondolewe madarakani.
Inasikitisha bado wanasiasa wa upinzani wanashiriki uchaguzi ambao hawataweza kuingia madarakani inasikitisha sana.
Nilitegemea baada ya vitabu vya mwinyi na mkapa kuwa wazi kwenye masuala ya uchaguzi na demokrasia basi wachukue hatua.
Moja ya hatua ni kutangaza kutoshiriki uchaguzi wowote mpaka katiba mpya iliyo na tume huru ya uchaguzi.
Kuwahamasisha wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao na njia zingine wimbo uwe "Tunataka Katiba mpya yenye Tume huru ya uchaguzi" ili sasa wananchi wapressurelize serikali ili watekeleze matakwa ya wananchi.
Kuendelea kushiriki uchaguzi kwa sasa na maandishi ya watawala yako wazi,inaonyesha wanasiasa walivyo vilaza au wanafanya siasa kwa ajili ya matumbo yao.
Marais wastaafu wawili waliisha andika vitabu kuhusu maisha yao tangu utotoni mpaka madarakani.
Wameonyesha kwenye maandishi jinsi CCM inavyotumia kila aina za mbinu za hila ili ibaki madarakani.
Mkapa ameonyesha jinsi CCM inavyobana isiwepo Tume huru ambayo itatokana na katiba mpya maana utakuwa mwiba kwa CCM.
Vivyo hivyo kwa Mwinyi jinsi CCM inavyotumia kila aina ya mbinu isiondolewe madarakani.
Inasikitisha bado wanasiasa wa upinzani wanashiriki uchaguzi ambao hawataweza kuingia madarakani inasikitisha sana.
Nilitegemea baada ya vitabu vya mwinyi na mkapa kuwa wazi kwenye masuala ya uchaguzi na demokrasia basi wachukue hatua.
Moja ya hatua ni kutangaza kutoshiriki uchaguzi wowote mpaka katiba mpya iliyo na tume huru ya uchaguzi.
Kuwahamasisha wananchi kupitia vyombo vya habari, mitandao na njia zingine wimbo uwe "Tunataka Katiba mpya yenye Tume huru ya uchaguzi" ili sasa wananchi wapressurelize serikali ili watekeleze matakwa ya wananchi.
Kuendelea kushiriki uchaguzi kwa sasa na maandishi ya watawala yako wazi,inaonyesha wanasiasa walivyo vilaza au wanafanya siasa kwa ajili ya matumbo yao.