Wanasiasa waliosema wamehama vyama vyao na kujiunga na CCM kwa kuwa wananafurahishwa na Magufuli, siku Magufuli muda wake ukiisha wataenda nae Chato?

Namna wanavyo address hii issue ya wahamiaji inakatisah tamaa wafia chama, watu wanakuja leo kesho wana mashangingi ya Serikali - hata kama ningekuwa mimi roho lazima iniume aisee!!
Yaani akina wa kudadavua bia yangu na mgonjwa mtambuka wao ni watu wa mapambio tu, hahahaaaa wamechagua b7 bc...lkn jamaa moyoni ina wauma sema ndo wanakufa na tai shingoni...na hii imekuwa ikituongezea kura maana wengi wao inawakera hvyo wanaamua kutupigia kura...
 
mkuu mbona umeandika mada shallow kuliko ilivyo kawaida yako? Yaani waende nae chato? sasa si ungeuliza hata kama wangehama CCM na kurudi kwenye vyama vyao? hili la kurudi chato umeandika kumshambulia Magufuli personally
 
mkuu mbona umeandika mada shallow kuliko ilivyo kawaida yako? Yaani waende nae chato? sasa si ungeuliza hata kama wangehama CCM na kurudi kwenye vyama vyao? hili la kurudi chato umeandika kumshambulia Magufuli personally
Kwn c ndo kishawishi cha wao kwenda aliko?? Hivyo hata akiachana na siasa watamfuata aendako
 
Aliyewaandikia barua alikuwa ni mmoja wao kazi yao ni kuedit jina tu
 
mkuu mbona umeandika mada shallow kuliko ilivyo kawaida yako? Yaani waende nae chato? sasa si ungeuliza hata kama wangehama CCM na kurudi kwenye vyama vyao? hili la kurudi chato umeandika kumshambulia Magufuli personally
Walivikashifu vyama vyao wanarudije tena?
Ishu kubwa wamefata maslai so siku maslai yao yakikoma nao watakoma kumfuata na kumfata mwenye maslai yao
 
Wala hawakwenda kumuunga mkono wala nini
Ni mkate tuu ndio waliokuwa wanatafuta
Haoo kama wataona mkate bado upo watabaki hukohuko baada Mh Magufuli
 
CCM ni wahuni sana. Hao wahamaji uchaguzi ujao watatoswa ubunge hatimae watapotea kwenye ramani ya siasa.

Nawahurumia sana.
 
wamefata chama chenyekuleta maendeleo.
Chadema hata ofisi hawana pamoja na Lowasa kuwahonga pesa za kutosha.
Kwa hiyo kazi zao wanafanyia Lumumba au kwenye keyboard kama were?.
 
wamefata chama chenyekuleta maendeleo.
Chadema hata ofisi hawana pamoja na Lowasa kuwahonga pesa za kutosha.
Labda Lowasa alisema hivyo, lakini navyokumbuka wengine wote walisema wanafurahishwa na Magufuli kama sababu kuu!
 
CCM ni wahuni sana. Hao wahamaji uchaguzi ujao watatoswa ubunge hatimae watapotea kwenye ramani ya siasa.

Nawahurumia sana.
Labda watarudi tena walikotoka wasipoteuliwa? Hivi Wasira si alikimbia CCM akaenda upinzani, kisha akarudi CCM? Hilo limeshafanyika sana tu.
 
Hao si watu wakuwaamini hata kidogo,hawana tofauti na mwanamke aliyemkimbia mumewe na kwenda kuwa nyumba ndogo
 
Kama ambavyo wanasiasa wanazijua akili zao wenyewe,hata wewe mfuasi wa wanasiasa inakulazimu uzijue akili zako mwenyewe,ukikubali tu kutumia akili za mwanasiasa,MAKOSAAAA.
Yani watakichezea tu kama vile wewe ndo mpira halafu we ndo wachezaji,yani wanakuteka kisaikolojia hadi unakua kama vile wamekuloga.
Ila walohama wamefata kile wanachokiamini.
Ila wanasiasa wenyewe huwa wanasema hakuna adui wa kweli wala rafiki wa kweli katika siasa,kujiongeza hapa ndo ishu kubwa.
 
These days a certain Party members and their immigrants know that to get a position in the government or in ccm they have to make absurd accusations against Mbowe or Chadema kama alivyofanya mbunge wa Siha akapata uwaziri na Waitara anavyotafuta kwa Nguvu zote sasa hivi. What a qualification?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…