Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #41
Mkuu, tatizo unaangalia kwenye kinyumbulisho cha thread badala ya core issue ya thread. Wewe umeenda ku-focus kwenye suala la "wataenda Chato" ambalo sio udhui la thread, bali ni figurative speech. Ni sawa na nikukuambia nitakupiga hadi baba yako asikutambue, halafu unaanza kujadili suala la baba yako kutokutambua badala ya kupigwa. Sasa huko ni kutokuwa na uwezo mkubwa katika suala la fasihi maandishi.mkuu mbona umeandika mada shallow kuliko ilivyo kawaida yako? Yaani waende nae chato? sasa si ungeuliza hata kama wangehama CCM na kurudi kwenye vyama vyao? hili la kurudi chato umeandika kumshambulia Magufuli personally
Suala la msingi katika thread hii ni kukosoa ubendera wa wanasiasa kwa kutojikita katika sera za vyama vyao na badala yake kusimamia kupendezwa na mtu. Katika suala la organizational theory, vyama vya siasa ni organizations ambazo zinapaswa ku-outlive members wake, hivyo wanaojiunga na organizations hizo wanapaswa kuwa na ufahamu huo kama wana akili sawasawa.
Hivi wewe leo unaweza kusema nimeamua kuajiiwa na timu ya Yanga kwa sababu nampenda kepteni wake? Sasa nikukuuliza utaenda kuwa mpishi wa huyo kepteni siku mpira wake ukiisha akaondolewa Yanga suala la kujadili sio kwenda kuwa mpishi wa kepteni. Focus kwenye issue kuu acha trivialities kwenye thread. Huwa zinawekwa kuzipamba thread. Lazima uonyeshe tofauti kati yako na mtu wa kijijini katika kusoma thread zangu, maana umeshasema huwa naandika thread zenye material.