Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
Acheni porojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo bibi hajui hata uhalisia wa maisha ya watanzania wanajua pengine wana self contain kama yeyeMshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Huyu mama ipo siku alipokuwa Supika aliwahi kusema wananchi muwaonee huruma wabunge wana taabu sana !!! Nikashangaa na nikajua kuwa huyu mama hajui kabisa maisha ya Uswazi !!Mshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Tujengeeni hakika hamtaliona hiloMshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Pamekucha wewe Bado unaota tuT
Tujengeeni hakika hamtaliona hilo
Yaan acha tu☹️😭Pamekucha wewe Bado unaota tu
Mbona yapo mengi yakuzungumzia sasa kwanini azungumze kauli za kuhuzunisha wazazi maskini?Mshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Wanajua sana ila hakuwazui kusema madhara yake kwani hata waliotengeneza sigara wameandika kuvuta sigara ni hatari kwa maisha ya mvutajiMshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Bi mkubwa hakuna mtu anapenda kulala chumba kimoja na watoto ila mazingira yanatulazimisha. Hebu tafakari unanilipa shilingi laki 3 mpaka 7 nina mke na WATOTO wawili. Mmoja wa kike na mwingine wa kiume. Ili kukidhi kile unachokisema nalazimika kutafuta nyumba ya vyumba vitatu. Kwa mkoa wa DSM hapo tunaongelea nikapange nyumba nzima ambayo kodi yake inaanzia laki 5 kwa mwezi na kuendelea kulingana na maeneo. Naweza kumudu jambo hilo?Mshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635
Nasikia hajawahi kuolewa wala kuzaa kama ni kweli alijuaje mambo ya watoto?Mshahara wa mhindi sh 150,000 halafu chumba elfu 35 utaweza kupangisha vyumba viwili?
Acheni porojo
View attachment 2547635