Wanasiasa wanataka kutuchonganisha na Hayati Magufuli

Wanasiasa wanataka kutuchonganisha na Hayati Magufuli

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
 
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Usitusemee, jisemee wewe mwenyewe
 
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Mkuu ungeainisha hayo mabaya wanayosema kama wanamsingizia ama la tutajua, maana sote tuliepo wakati wa awamu ya tano!! Taja anayosingiziwa....
 
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Jina la JPM likipelekwa kwa kuhani na mwalimu wa kiroho pale Ngomeni (Kimara temboni) na watu sahihi kisha wakafuata maelekezo ya kufuata ikiambatana na vifaa vya kiroho na kufunga kwa kati ya siku 7-14 ukweli utabainika bayana ni nani alihusika kusababisha mauti yake.
Ugonjwa unaotajwa unaweza kusababishwa tu kama kichaka cha kukwepa kujulikana kwa macho kwamba ni nani hasa alipanga na kutekeleza kilichotokea. Watu watabaki wana maswali yanayohitaji majibu hata kama itachukua miaka 10 ijayo.

Hapo Ngomeni ndio suluhisho la kile kinachowatatiza wananchi badala ya kutumia siasa
 
Mkuu ungeainisha hayo mabaya wanayosema kama wanamsingizia ama la tutajua, maana sote tuliepo wakati wa awamu ya tano!! Taja anayosingiziwa....
Wanasema mwizi na muuaji.

Hadi sasa wizi na mauaji yapo ila hawawezi kusema haya kwa sababu wenye visemeo wanalambishana asali.
 
Jamani tuweni wa kuelewa, je! kwanini serikali ya ccm, hawakuutangazia umma kwamba hayati magufuri ni mgonjwa, ikaja kutangaza kifo chake tu?
 
Jamani tuweni wa kuelewa, je! kwanini serikali ya ccm, hawakuutangazia umma kwamba hayati magufuri ni mgonjwa, ikaja kutangaza kifo chake tu?
Inasikitisha sana.

Na bada ya hapo mzigo umewawia mzito wameanza kupayuka tu. Ipo siku inakuja.
 
Back
Top Bottom