Wanasiasa wanataka kutuchonganisha na Hayati Magufuli

Wanasiasa wanataka kutuchonganisha na Hayati Magufuli

Wanasema mwizi na muuaji.

Hadi sasa wizi na mauaji yapo ila hawawezi kusema haya kwa sababu wenye visemeo wanalambishana asali.
Ufisadi upo wala hakuna awamu haikua na ufisadi na hili ni lawama kwa utawala mzima CCM! But upande wa mauaji na uteswaji na kutekwa, je akina nan umeona kweny hbr wameuwawa na kuwekwa kweny viroba, wapinzani gan umesikia wamejeruhiwa na kuuwawa, umesikia wapinzani wamepewa kesi na kutupwa lupango?
 
Ufisadi upo wala hakuna awamu haikua na ufisadi na hili ni lawama kwa utawala mzima CCM! But upande wa mauaji na uteswaji na kutekwa, je akina nan umeona kweny hbr wameuwawa na kuwekwa kweny viroba, wapinzani gan umesikia wamejeruhiwa na kuuwawa, umesikia wapinzani wamepewa kesi na kutupwa lupango?
Kama waneamua kuungana watafungwa vipi?.
 
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Huu upuuzi wenu kafanyieni kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.

Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.

Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.

Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Wewe umejenga nini kipindi cha mwendazake?
 
Kila kilichofanyika wazi kinajulikana sio kila kitu alifanya yeye. Ila walamba asali wanataka tuwaamini wao as if sisi hatukuwepo.
Miradi yote iliyoanzishwa wakati wa mwendazake kaikuta kwenye ilani ya CCM.

Kumbuka hilo.
 
Miradi yote iliyoanzishwa wakati wa mwendazake kaikuta kwenye ilani ya CCM.

Kumbuka hilo.
Uko sahihi. Maamuzi ya kujenga ndio hoja..tangu 1970+ Ilani zilikuwepo.

Ila wenzako sasa..hawataki hilo Bwawa la Nyerere lijengwe. .yaani tukikaa kiboya tu litakamilika mwaka 2030.
 
Uko sahihi. Maamuzi ya kujenga ndio hoja..tangu 1970+ Ilani zilikuwepo.

Ila wenzako sasa..hawataki hilo Bwawa la Nyerere lijengwe. .yaani tukikaa kiboya tu litakamilika mwaka 2030.
Mwenzangu gani hataki lijengwe? Mwendazake alipokufa lilikuwa asilimia ngapi ya ujenzi na sasa lipo asilimia ngapi ya ujenzi?
 
Mwenzangu gani hataki lijengwe? Mwendazake alipokufa lilikuwa asilimia ngapi ya ujenzi na sasa lipo asilimia ngapi ya ujenzi?
Nakuhakikishia tukilala kidogo tu halitakamilika.Kaa ukijua hilo.

Mambo ni Mengi sana.
 
Jamani tuweni wa kuelewa, je! kwanini serikali ya ccm, hawakuutangazia umma kwamba hayati magufuri ni mgonjwa, ikaja kutangaza kifo chake tu?
Utangaze ugonjwa wa JPM, aliyezuia kutangaza vifo vya Covid-19, huku hujui anaumwa kiasi gani, UNAJIPENDA?
... Ambaye angetangaza ugonjwa, halafu mzee Magu apate nafuu, angejifunza maana halisi ya BULLDOZER!
😅
 
Back
Top Bottom