Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufisadi upo wala hakuna awamu haikua na ufisadi na hili ni lawama kwa utawala mzima CCM! But upande wa mauaji na uteswaji na kutekwa, je akina nan umeona kweny hbr wameuwawa na kuwekwa kweny viroba, wapinzani gan umesikia wamejeruhiwa na kuuwawa, umesikia wapinzani wamepewa kesi na kutupwa lupango?Wanasema mwizi na muuaji.
Hadi sasa wizi na mauaji yapo ila hawawezi kusema haya kwa sababu wenye visemeo wanalambishana asali.
Kama waneamua kuungana watafungwa vipi?.Ufisadi upo wala hakuna awamu haikua na ufisadi na hili ni lawama kwa utawala mzima CCM! But upande wa mauaji na uteswaji na kutekwa, je akina nan umeona kweny hbr wameuwawa na kuwekwa kweny viroba, wapinzani gan umesikia wamejeruhiwa na kuuwawa, umesikia wapinzani wamepewa kesi na kutupwa lupango?
Shutuma nzito hizi😀Tundu Lissu ndio alimuua, alilipiza kisasi
Kwahiyo una justify awamu ya tano yale waliyowafanyia upinzani?Kama waneamua kuungana watafungwa vipi?.
Huu upuuzi wenu kafanyieni kwenu Burundi mlikozoea kuchinjanaWanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.
Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.
Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.
Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Sasa hii kugawana mali za uma a.k.a kulamba asali ni ya nchi gani?.Huu upuuzi wenu kafanyieni kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe umejenga nini kipindi cha mwendazake?Wanasiasa wa nchi hii baada ya kuona upepo hauko upande wao, wananchi wanamuenzi alie kuwa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha mioyo yetu. Wameungana CCM na CDM ili tu walambe asali za nchi hii vizuri.
Wakiwa kwenye mikutano ya hadhara hadi wanaogopa kulitaja jina la JPM kwa mazuri yoyote aliyo wahi kufanya katika nchi hii. Maana wakitaja tu shangwe za wananchi zinavuma kila kona hadi kwenye mitandao. Wakilazimisha kutaja mabaya wananchi wanaziba masikio.
Chonde chonde wanasiasa msitugombanishe na marehemu. Sisi hakutukosea hadi anaingia kablini. Na tumeshakataa kugombanishwa, hilo mlielewe.
Siku tukipata madaraka tu tutajenga makumbusho kubwa sana ya kuonesha namna gani mwamba alijenga miundo mbinu ya nchi hii. Barabara, Reli, Umeme, Ikulu Dodoma, Hospitals. n.k.
Sasa alifanya nan bila ya go ahead yake?Kila kilichofanyika wazi kinajulikana sio kila kitu alifanya yeye. Ila walamba asali wanataka tuwaamini wao as if sisi hatukuwepo.
Miradi yote iliyoanzishwa wakati wa mwendazake kaikuta kwenye ilani ya CCM.Kila kilichofanyika wazi kinajulikana sio kila kitu alifanya yeye. Ila walamba asali wanataka tuwaamini wao as if sisi hatukuwepo.
Hukuwakuta waliojenga kabla yako?Swali nje ya mada.
Nimejenga nyumbani kwangu.
Uko sahihi. Maamuzi ya kujenga ndio hoja..tangu 1970+ Ilani zilikuwepo.Miradi yote iliyoanzishwa wakati wa mwendazake kaikuta kwenye ilani ya CCM.
Kumbuka hilo.
Mwenzangu gani hataki lijengwe? Mwendazake alipokufa lilikuwa asilimia ngapi ya ujenzi na sasa lipo asilimia ngapi ya ujenzi?Uko sahihi. Maamuzi ya kujenga ndio hoja..tangu 1970+ Ilani zilikuwepo.
Ila wenzako sasa..hawataki hilo Bwawa la Nyerere lijengwe. .yaani tukikaa kiboya tu litakamilika mwaka 2030.
Utangaze ugonjwa wa JPM, aliyezuia kutangaza vifo vya Covid-19, huku hujui anaumwa kiasi gani, UNAJIPENDA?Jamani tuweni wa kuelewa, je! kwanini serikali ya ccm, hawakuutangazia umma kwamba hayati magufuri ni mgonjwa, ikaja kutangaza kifo chake tu?