Wanasiasa wanataka kutuchonganisha na Hayati Magufuli

Nakuhakikishia tukilala kidogo tu halitakamilika.Kaa ukijua hilo.

Mambo ni Mengi sana.
Hahahhaha

Wewe upo dunia ipi? Bwawa na maji yashafunguliwa yajae, hivi uko wapi?

Nimekuuliza juu huko hujajibu. Swali gumu kwako?
 
.
 
Hahahhaha

Wewe upo dunia ipi? Bwawa na maji yashafunguliwa yajae, hivi uko wapi?

Nimekuuliza juu huko hujajibu. Swali gumu kwako?
Nazani unajua ninachokimaanisha.

Mengine uko nje ya ninacho kiandika mimi. Ubataka unitoe kwenye reli?. Huwezi.

Kufanikiwa kwa mradi huo ndio furaha yabgu.
 
Yaani Mungu atuonyeshe hilo mapema kabisa kifo cha Rais wetu mpendwa kina maswali mengi kuliko majibu
-Kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda kuna majibu?
-Kushambuliwa kwa Lissu, kung'olewa kwa CCTV cameras na kufichwa kwa footages za tukio kuna majibu?

Haumuombi huyo 'mungu' wako na akuonyeshe na hayo mapema?
 

Wanasiasa wahuni walioshindwa kuendesha nchi,wanaonea wivu kazi nzuri zilizo fanywa na jpm kwa muda mfupi sana.
 
Kumbuka January Makamba anatoa ngao za kutambua mchango wa bwawa la Nyerere kwa wastaafu lilipotajwa jina la hayati Magufuli,

SHANGWE KAMA LOOOTE

Hakika alikuwa mwamba kwerikweri
 
-Kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda kuna majibu?
-Kushambuliwa kwa Lissu, kung'olewa kwa CCTV cameras na kufichwa kwa footages za tukio kuna majibu?

Haumuombi huyo 'mungu' wako na akuonyeshe na hayo mapema?
Hao ulowataja siwajui
 

Hakuna suluhisho lolote litapatikana. Hakuwa Mungu kwamba asingeondoka, masuala ta kusema ilikuwa hivi iliikuwa vile ni suala mtambuka.
Si kwamba siamini katika maombi ila mambo mengine ni upotev wa muda, seriikal ilishatolea maelezo. kama kuna mwenye ushahid zaid aripoti kwa vyombo husika
 
Tena Kwa kipindi kifupi sana!! he was a genius RIP MAGU
 
GO Lissu , asali itageuka kwinini mwaka huu mwache mbowe aibugie naona umeanza kuweka kijinga kwenye tunnel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…