Wanasiasa watano waliokufa kwa kusimamia walichokiamini! R.I.P

Wanasiasa watano waliokufa kwa kusimamia walichokiamini! R.I.P

1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu ya siasa ya Nchi hii.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!!
Uko biased, unamwacha wapi pro. baregu, ndesamburo,bob makani, seif mtikila nk.
 
I dont know much about Sokoine lakini nasikia alikuwa anamwaga sukari za wafanyabiashara eti magendo, nielimishe alipigana vipi na uhujumu uchumi au kitu gani exactly alifanya tumwone alikuwa mwamba, sio kutulisha madini kumbe patupu
 
Hapana hawasimamii wanachokiamini maana waliamini kuwa fulan ni fisadi lkn baadae wakatoka kwenye reli wenyewe na kusema sio fisadi.
Chifu ujaelewa uzi wangu achana nao

Nimekwambia mwanasiasa lazima awe na Jambo moja analolisimamia kwa ukamilifu hata Kama ana makandokando mengi!!

Nyerere alikuwa na makosa mengi tu
The same kwa Sokoine na Magufuli lakini Kuna baadhi ya Mambo waliyasimamia ipasavyo bila kujali Nini kitatokea kwao.

The same kwa Mbowe na Lissu kwenye swala la justice na construction!!

Kama ujanielewa basi uwezi kuelewa Tena.
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu ya siasa ya Nchi hii.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Namba tano alikuwa kwa laana. Ule uchafuzi kule zanzibar asingedumu
 
Wewe nawe Bora ulijistaafisha tu, tangu umerudi umekuwa mtu wa kuposti pumba tupu humu, Amina Chifupa apambane na wauza madawa wakati mumewe ndiye alikuwa muuzaji bingwa?
Anatufanya wote wajinga humu,yaani Mpakanjia,Mudy Nondo hizi namba zote zilikuwa marafiki wakudumu wauza unga na utapeli wa Magari Jijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu kafa kwa COVID. Anaenziwa na wapumbavu na vichwa maji tu.

Magu alikuwa mpenda SIFA kupindukia anaeabudu PESA.

Ndio maana wakati COVID imeingia alianza kuleta maigizo uchwara ya kusalimiana kwa miguu na Maalim Sharif.

Na baadaye akafunga shule na kuhamasisha kunawa mikono.

Alivyokuja kuona mambo ya Curfew na Lockdown ndio akapiga U-turn na kujifanya Covid imeisha. Wakati huo ameshachukua pesa za COVid kutoka EU.

Utawekaje Lockdown wakati TRA wanakusanya wastani wa 1TRI halafu 700B unalipa madeni ya mikopo na bado unatakuwa kulipa mishahara ??

Magu wa a great fool
Aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua mbele ya wakati ama ahead of time ni kua na new ideas a long time before other people start to think in the same way as you thought it.

Mfano, mwaka 1958 kuna mtu alisema ama aliandika kwenye makala kwamba huko mbele kutakuja kua na simu za mkononi ndogo sana mtu ataembea nazo na mambo kama hayo, watu hawakumuelewa walimuona kama kichaa anawaza vitu ambavyo havipo ama visivyowezekana.

Lakini miaka 25 baadae , Dr. Cooper aligundua namna ya kutengeneza simu ya kuhamisha ama mobile phone ingawa ilikua na uzito wa karibu kilo 3 ila iliwezekana.

Magufuli kwenye covid alikua mbele ya muda.
Hujajibu swali bado, Magufuli alikuwa mbele ya wakati kivipi?
 
Siupendi ujamaa. Unalea umasikini kwa hitimisho kuwa kila kitu ni mali ya uma. Binadamu hatufanani mawazo, kwann tufanane umasikini?
 
HAPO KWA MWENDA ZAKE WA CHATO UNGEMTOA HASTAHILI KUWEPO HAPO.
 
Kichwa cha habari utafikiri hao walikufa kwa sababu ya walichokiamini!
 
1: Julius Kambalage Nyerere
Alikufa akiamini katika falsafa ya ujamaa na kuupinga Ubeberu mpaka dakika za mwisho za kifo chake!! baada ya yeye kufa panya wote wakatoka kwenye mashimo na kuanza kuuza nchi na kusababisha yote yanayotutesa leo ndiye mtu ambaye hakuiba hata mia ya Nchi hii akiwa ikulu.

2: Edward Sokoine
Mafisadi walimtengenezea ajali baada ya kuona alisimama kidete na wahujumu uchumi hakika alikufa akiwa na msimamo wake juu ya mafisdi na wahujumu uchumi wa Nchi hii.

3: Amina Chifupa
Huyu alikufa akipambana na magenge ya madawa ya kulevya alihongwa dollar nyingi ili asaliti mapambano lakini mpaka anakufa hakusita kusimama kwenye msimamo wake, pamoja na mmewe kuwa muuza madawa mkubwa.

4: Deo Filikunjombe
Uzalendo uliotukuka mafisadi ya umeme Nchi hii yakampoteza hakika kifo chake kina uchungu mkubwa Sana nyuma yake. Akiwa mwenyekiti wa kamati ya PAC alisimama kidete kutetea pesa za umma juu ya mafisadi wa umeme wa Nchi hii. Watu wakamuuza kwa kuhofia angekuja kuwa PM au Rais badae.

5: John Pombe Magufuli
R.I.P ingawa tulipishana baadhi ya Mambo lakini utabaki kwenye vitabu vya kumbukumbu Kama mwanaume mwenye msimamo mkali kwenye janga la corona. Ulisimama ulisimama kwenye ili umeacha athari kubwa kwa taifa kiufupi mwanaume mpambanaji ingawa mabeberu pamoja na makaburu weusi kukupoteza ila Sasa duniani inaona ulicho kisimamia juu ya swala la corona.

Najua Kuna watu wengi ambao wanapenda kuwa wanasiasa ila ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri simamia unachokiamini mpaka mwisho kuwa tayari kufanya chochote kutetea msimamo wako, kuwa tayari hata kufa ukitetea msimamo wake.

Tundu Lissu na Mbowe nao uwenda wakaja kuwa kwenye kitabu hiki kwa misimamo yao isiyoyumba juu Katiba na haki katika taifa ili.

R.I.P wote, kubali kufa sio kulala!! Happy Nyerere day.
Wakati ule ulimnanga sana JPM. Ukimuangalia leo kwa angle tofauti, alikuja kwa mission maalumu. Haya aliyotuachia nyuma yetu, yanatukumbusha kuwa kuna wakati, mtu wa haiba ya JPM lazima atokee ili mambo yakae sawa.
Inanikumbusha Man United ya Josee Mourinho na mchezaji wa aina yake, Fellain. It was a match of character, some of us didnt understand
 
nammba tano alisimamia ujinga kujitia ujuaji vitu asivyokua na ujuzi navyo, kazidiwa akili hadi na mwanamke
 
Usichokijua ni kuwa uo ni Mkopo kama Mikopo Mingine
Isipokuwa sera za kidunia zinalazimisha mkopo uweoneshe ni namba gani utapambana na korona
Mkopo aliochukua mama hatujalazimishwa wala kuwekewa masharti zaidi tumeweka kipaumbele vyet sisi wenyewe
Mataifa kama uganda na Kenya walilazimishwa kununua chanjo, barakoa nk
Mama kachukua mkopo wa kawaida tuu lakini uliowekwa katika fungu la Korona kwa sera za wakopeshaji
Rudia kusoma uelewa, hizi ngonjera kawaeleze wajinga wenzio wasio elewa kama wewe.
 
Back
Top Bottom