Wanasiasa wengi (85%)wanawaza kujinufaisha wao kwanza

Wanasiasa wengi (85%)wanawaza kujinufaisha wao kwanza

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Wanasiasa wengi kipaumbele chao ni wao na familia/marafiki. Hizo zinazoitwa shida za wananchi ni gia tu ya Kula pesa/kodi za wananchi. Ndo maana Hata SGR ipe miezi 6 chali.

1. Posho/pensheni za wanasiasa ni nono, ajabu.

2. Mishahara yao ni ya juu (bila Kodi).

3. Miradi/tenda kubwa kubwa hupewa wao au washirika wenzao kibiashara.

NB: ewe mwananchi Stuka na chukua hatua binafsi, hakuna wa kukuletea maendeleo binafsi.

****Vijana ingieni kwenye siasa ili nanyi mle mema ya nchi kuliko kubaki kulia lia kuwa ajira hamna.
 
Vijana tafuteni pesa. Ikibidi ingieni huko huko kwenye siasa. Pesa bwerere
 
Wanasiasa wengi kipaumbele chao ni wao na familia/marafiki. Hizo zinazoitwa shida za wananchi ni gia tu ya Kula pesa/kodi za wananchi. Ndo maana Hata SGR ipe miezi 6 chali.

1. Posho/pensheni za wanasiasa ni nono, ajabu.

2. Mishahara yao ni ya juu (bila Kodi).

3. Miradi/tenda kubwa kubwa hupewa wao au washirika wenzao kibiashara.

NB: ewe mwananchi Stuka na chukua hatua binafsi, hakuna wa kukuletea maendeleo binafsi.

****Vijana ingieni kwenye siasa ili nanyi mle mema ya nchi kuliko kubaki kulia lia kuwa ajira hamna.
Surat Al-Insan (76:8-9):

  • "Na wanawalisha chakula, kwa kuwa wanakipenda, masikini na mayatima na wafungwa. (Wanasema) Hakika tunakulisheni nyinyi kwa ajili ya kutaka radhi za Mwenyezi Mungu tu; hatutaki kwenu malipo wala shukrani."
Aya hii inasisitiza upendo na huruma kwa wengine, huku ikionyesha jinsi ya kujitolea kwa ajili ya wengine bila kutarajia malipo au shukrani.

Pia, katika Hadithi za Mtume Muhammad (s.a.w), kuna maelekezo ya moja kwa moja juu ya kupenda wengine kama mtu anavyojipenda mwenyewe:

Hadithi ya Mtume Muhammad (s.a.w) iliyoelezwa na Anas ibn Malik (r.a.):

  • "Hakuna yeyote miongoni mwenu atakayeamini mpaka ampende ndugu yake kama anavyojipenda mwenyewe."
    • [Imepokewa na Bukhari na Muslim]
Hadithi hii inasisitiza kwamba imani ya mtu haikamiliki hadi anapompenda mwenzake kama anavyojipenda mwenyewe. Dhana hii ni msingi wa maadili ya Kiislamu, yanayohusisha upendo, huruma, na kujali ustawi wa wengine kama sehemu ya imani ya kweli.
 
Wanasiasa wengi kipaumbele chao ni wao na familia/marafiki. Hizo zinazoitwa shida za wananchi ni gia tu ya Kula pesa/kodi za wananchi. Ndo maana Hata SGR ipe miezi 6 chali.

1. Posho/pensheni za wanasiasa ni nono, ajabu.

2. Mishahara yao ni ya juu (bila Kodi).

3. Miradi/tenda kubwa kubwa hupewa wao au washirika wenzao kibiashara.

NB: ewe mwananchi Stuka na chukua hatua binafsi, hakuna wa kukuletea maendeleo binafsi.

****Vijana ingieni kwenye siasa ili nanyi mle mema ya nchi kuliko kubaki kulia lia kuwa ajira hamna.

Ushaanza kupata akili, sasa ufikirie na kuamua kuacha kutumikishwa kuwafanyia wapate hayo uliyotaja wakati wewe unapiga miayo tu!
 
umekosea sana kwann iwe 85% na sio 99% na hio 1% ni kwaajil ya mtaalam wa siasa za Africa mashariki
 
Back
Top Bottom