Wanasiasa wote wa Kiume Wake zao wangekuwa wazuri kama wa Lema ingependeza sana

Anayeweza kupangilia pamba zikamkaa sawa kama mama Salma. Wadada Na nyie mjichagulie waume handsome na wasafi. Kama JK.
kusema nilikuwa simkuali JK kwa style yake ya uongozi lakini knye maisha binafsi aka pamba, mke mzuri, kujichanganya na raia ( mara nyingi nimekuta mazungumzo wanawake wanamfagilia sana JK sidhani kama kuna papuchi anaikosa akitaka yule mzee
 


Mkuu ni kweli uyasemayo. Lakini najiuliza maswali mengi juu ya post yako naomba unijibu. Una dada? Je ni mzuri kama mke wa Lema? Kama ni wa kawaida umeishaanza kumuandaa kisaikrojia aolewe na mkata mkaa? Maana unaona wanawake wazr tu ndio wanafaa kuolewa na wanasiasa unasahau tunao wanasiasa akina mama wabaya wa sura lakini wazuri kichwani mfano Mdee, Nk
 
kusema nilikuwa simkuali JK kwa style yake ya uongozi lakini knye maisha binafsi aka pamba, mke mzuri, kujichanganya na raia ( mara nyingi nimekuta mazungumzo wanawake wanamfagilia sana JK sidhani kama kuna papuchi anaikosa akitaka yule mzee
Ahaaaah Yule Mzee ni Handsome na wamama/wadada huvutiwa sana na wanaume watanashati hata bure. Ugly men kama piemu aliyepita plus Tyson ni Pesa tu uwe nayo si kupendwa!!
 
naona sasa mmeacha kusifia madudu yao , mmeanza kwa wake zao!![emoji23][emoji23]
we've a long way to Go
 
Ahaaaah Yule Mzee ni Handsome na wamama/wadada huvutiwa sana na wanaume watanashati hata bure. Ugly men kama piemu aliyepita plus Tyson ni Pesa tu uwe nayo si kupendwa!!
Ahaaa ahaaa umenikumbusha PM aliyepita mbavu zimepanuka alikuwa gumzo kwa mabinti kwa walivyokuwa wanamponda, alikuwa mfano mzuri wa kitisho
 
Ok bas no Nlijua mchaga kwa sbb mama yake ni mchaga ila sijui baba ni kabila gan.
Aise we jamaa muongo, na sijui taarifa zako unatoa wapi.

Huyo binti anavyoonekana ndio copy ya Mama yake...Mama ni Mwalimu kanifundisha miaka ya mapema ya tisini na anavyoongea wala huhitaji elimu ya chuo kugundua ni Muhaya.
 
Si fahamu mkuu lakini ana haiba za u-Hangaza au ile nchi ya Kagame.
Kama ni kweli ni M Hangaza! Kangame noma! Hayo ni mapandikizi ya Kagame!! Atakuwa yupo kwa kazi maalumu report atakuwa anazipeleka kwa Kagame hahaha
 
Wa makonda mzuri

Mama salma mke wa jk mzuri

Mke wa pinda mzuri

Mke wa mbowe mzuri

Josephine slaa mzuri


Hata mke wa Mwai Kibaki ni Chuma sana na enzi zake watu walitwangana makonde ili wampate Kibaki akawazzidi kete.
 
Magufuli amenzisha trend mbaya ya kusifia wake za watu, naona na nyie mna fuata tuu, shauri yenu
hivi alishawahi kumsifia mke wake public, kama alivyofanya kwa mama wa msoga?
 
Mama yake Maria mchaga?mama yake Maria ni mnyarwanda.Maria mke wa Daudi Bashite.
Yani yeye na mama yake wamefanana na wale wa kwetu pazuri haswaa..nilivyomuona first nilihis tu huyu mnyarwanda
 
Halafu naskia Bashite ana mke mgumba au Bashite mwenyewe ndo mgumba
Usiseme hivyo..maneno makali sana hayo hakuna anayependa kuwa mgumba..
Time will tell Mungu anaweza wajalia..hata 10yrs ya ndoa bado...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…