Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Nimeona Wanasimba wengi wakiongozwa na yule mshereheshaji wao wa kule mtandao wa X wakijifariji kuwa wapo kiwango kimoja na Al Ahly.
MC wao wa Twitter Ndugu Micky Jr anawapamba kuwa mechi ya Simba vs Al Ahly iwe African Derby, ahaa!
Derby ambayo kabla ya mechi unakuwa ushajua nani anashinda na kuendelea mbele? Derby gani, mpinzani wako anapopangiwa na wewe anafurahia badala ya kuogopa? Derby gani, mpinzani miaka nenda rudi anakufanya wewe ngazi ya kupandia? Tena kama haitoshi wewe unajisifu kuwa yeyote anayenifunga au kunitoa anakuwa bingwa?
Al Ahly alikuwa anaomba piga ua garagaza asikutane na Mamelodi Sundowns. Al Ahly anamwogopa Sundowns kwani anaupiga mpira mwingi hadi unamwagika, ana rasilimali fedha na mjuzi wa figisu.
Najua pona ya Al Ahyl ni kuomba Mamelodi Sundowns apigwe red card, tena wapigwe kadi kuanzia wachezaji watatu ndio atashinda
Njoeni mjifunze kwa kaka yake Yanga jinsi ya kumbandua Al Ahyl nje ndani.
MC wao wa Twitter Ndugu Micky Jr anawapamba kuwa mechi ya Simba vs Al Ahly iwe African Derby, ahaa!
Derby ambayo kabla ya mechi unakuwa ushajua nani anashinda na kuendelea mbele? Derby gani, mpinzani wako anapopangiwa na wewe anafurahia badala ya kuogopa? Derby gani, mpinzani miaka nenda rudi anakufanya wewe ngazi ya kupandia? Tena kama haitoshi wewe unajisifu kuwa yeyote anayenifunga au kunitoa anakuwa bingwa?
Al Ahly alikuwa anaomba piga ua garagaza asikutane na Mamelodi Sundowns. Al Ahly anamwogopa Sundowns kwani anaupiga mpira mwingi hadi unamwagika, ana rasilimali fedha na mjuzi wa figisu.
Najua pona ya Al Ahyl ni kuomba Mamelodi Sundowns apigwe red card, tena wapigwe kadi kuanzia wachezaji watatu ndio atashinda
Njoeni mjifunze kwa kaka yake Yanga jinsi ya kumbandua Al Ahyl nje ndani.