Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars Zamoyoni Mogella yuko mbioni kutimuliwa kwenye kota za Urafiki baada ya kulimbikiza kodi mpaka kufikia deni la Tsh mil 5.
Chanzo - Mwananchi .
Ombi - kutoa ni moyo .
Chanzo - Mwananchi .
Ombi - kutoa ni moyo .