Wanasimba tuungane kumuokoa Zamoyoni Mogella

Wanasimba tuungane kumuokoa Zamoyoni Mogella

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars Zamoyoni Mogella yuko mbioni kutimuliwa kwenye kota za Urafiki baada ya kulimbikiza kodi mpaka kufikia deni la Tsh mil 5.

Chanzo - Mwananchi .

Ombi - kutoa ni moyo .
 
Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars Zamoyoni Mogella yuko mbioni kutimuliwa kwenye kota za Urafiki baada ya kulimbikiza kodi mpaka kufikia deni la Tsh mil 5.

Chanzo - Mwananchi .

Ombi - kutoa ni moyo .
Huyu si alikuwa na pesa huyu baba yake Mariam Mogella aka get buzy?;Au mke ndo alimfilisi jumla.
 
Back
Top Bottom