Wanasimba wameshinda lakini hawana furaha ndani ya mioyo yao

Wanasimba wameshinda lakini hawana furaha ndani ya mioyo yao

Kongole mtani kwa hicho kidogo ulichokipata pasipo kuwa na tegemezi/matarajio maana hiyo ni zaidi ya kujaribu kujiokoa kutoka kwenye Domo la mamba mwenye njaa Kali.

NALIA NGWENA the great thinker natoa pongezi kwa kuifunga wydad goli moja kwa mtungi, goli liliofungwa na Jean balleke huku asist ikitoka kwa kibu Denis (drogba wa bongo).
Kidogo ingekuwa furaha kubwa Kama simba angeanzia kwa wydad halafu akapata ushidi alioupata leo hakika ingeleta matumaini kwa mashabiki.

Mashabiki wa Simba wanalazimisha furaha lakini wakikumbuka kuwa watakwenda kwa waydad mioyo yao inachoka kabisa haswa kuona timu yao imepata ushindi mwembamba.

Simba Kuifunga wydad Casablanca goli moja kwa mkapa ni sawa na mtu kumpiga dole tembo , shida ni pale tembo atakapo geuka kwa gadhabu, ndicho kitakacho watokea Simba nyumbani kwa wydad wategemee kuoga magoli si chini ya tatu nakuendelea.

Simba angefunga goli tatu na kuendelea hii ingeleta matumaini kwa mashabiki, lakini goli moja ni wazi huu ni muda wa kukusanya vilago nakurudi nyumbani.

Simba haina uwezo wa kuifunga/ kuzuia magoli nyumbani kwa wydad, huo ndiyo ukweli mengine tunapeana moyo tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Leo mnapigwa katerero hadi mrushe mimaji
 
Kongole mtani kwa hicho kidogo ulichokipata pasipo kuwa na tegemezi/matarajio maana hiyo ni zaidi ya kujaribu kujiokoa kutoka kwenye Domo la mamba mwenye njaa Kali.

NALIA NGWENA the great thinker natoa pongezi kwa kuifunga wydad goli moja kwa mtungi, goli liliofungwa na Jean balleke huku asist ikitoka kwa kibu Denis (drogba wa bongo).
Kidogo ingekuwa furaha kubwa Kama simba angeanzia kwa wydad halafu akapata ushidi alioupata leo hakika ingeleta matumaini kwa mashabiki.

Mashabiki wa Simba wanalazimisha furaha lakini wakikumbuka kuwa watakwenda kwa waydad mioyo yao inachoka kabisa haswa kuona timu yao imepata ushindi mwembamba.

Simba Kuifunga wydad Casablanca goli moja kwa mkapa ni sawa na mtu kumpiga dole tembo , shida ni pale tembo atakapo geuka kwa gadhabu, ndicho kitakacho watokea Simba nyumbani kwa wydad wategemee kuoga magoli si chini ya tatu nakuendelea.

Simba angefunga goli tatu na kuendelea hii ingeleta matumaini kwa mashabiki, lakini goli moja ni wazi huu ni muda wa kukusanya vilago nakurudi nyumbani.

Simba haina uwezo wa kuifunga/ kuzuia magoli nyumbani kwa wydad, huo ndiyo ukweli mengine tunapeana moyo tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile ap

Ndiyo Imani yako ilivyokutuma, yanga kuwaachia dabi ile ilikua ni akili/maandalizi ya kimataifa tukamkande rivers hautoamini kesho kitakacho mtokea.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kabla ya makundi ---- simba mbovu haipati hata point..... watu wakajipigia hesabu wakatoka na pwent zao
Robo final ---- Simba kapangwa na wydad, haaaaaa wamekwisha, tapigwa nje ndani........ watu haoooooo washajipigia ntu kwa nkapa..... tunasubiria kwao.....


Nilichogundua ni kwamba mashabiki wengi wa yanga wanasumbuliwa na ushamba, shangilia yao ni ya kishamba sana, yani ulimbukeni umewajaa, bado wana ushangiliaji wa kelele, mishipa ya shingo inawasimama..... simba ni wastaarabu, wanashangilia kidoni.... easy yani.... huku tunapiga hesabu ya kituo kinachofuata
 
Kabla ya makundi ---- simba mbovu haipati hata point..... watu wakajipigia hesabu wakatoka na pwent zao
Robo final ---- Simba kapangwa na wydad, haaaaaa wamekwisha, tapigwa nje ndani........ watu haoooooo washajipigia ntu kwa nkapa..... tunasubiria kwao.....


Nilichogundua ni kwamba mashabiki wengi wa yanga wanasumbuliwa na ushamba, shangilia yao ni ya kishamba sana, yani ulimbukeni umewajaa, bado wana ushangiliaji wa kelele, mishipa ya shingo inawasimama..... simba ni wastaarabu, wanashangilia kidoni.... easy yani.... huku tunapiga hesabu ya kituo kinachofuata
Sasa bado unaamini kuwa simba ataifunga wydad nyumbani kwao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom