Wanasimba wenzangu suala la vyeti vya Mgunda vitufumbue macho

Wanasimba wenzangu suala la vyeti vya Mgunda vitufumbue macho

Toka MO alivyoondoka kama Mwenyekiti Simba imekuwa ya hovyo sana
 
Tatizo Simba wanamkumbatia Barbra. Ngoja awashughulikie. kuanzia mgogoro na Manara, morisson na Sasa kushindwa kuajiri kocha wa maana na usajili wa striker huyo yupo Simba kujitangaza na sio kupeleka Simba mbele.
Ifike hatua wanasimba tubebe mabango ya kumkataa Babra na Mo
 
Toka Ligi kuu ianze yapata mwezi Mm Makolo Wameongozwa na Makocha:
Zoran
Matola
Mgunda
Nkoma
Total ni Wa4 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu zangu wanasimba poleni na stress za hapa na pale juu ya timu yetu.

Tuna uongozi mbovu haijawahi kutokea. How comes unarelease barua ya kupata kocha mkuu wa Mda (MGUNDA) huku hujajiridhirisha kama ana nyaraka zote zinazotakiwa na mamlaka za mpira?

Vetting ya kumchagua imefanyikaje?

Tuna uongozi makini kweli ndugu zangu??
Kama mnavyoona usajili wenyewe ulifanyika kimagumashi (wachezaji wa mafungu).

Njooni tujadiliane kabla timu yetu haijaanguka zaidi.

Achaneni na issue ya Matola hana shida, shida ni uongozi.

Nipo hoves kabisa mimi nahisi kuchanganyikiwa.
Halafu na tumbo tumbo Mgunda akachuna. Si angesema tu kuwa nami ni kanjanja.
 
Hatimaye ile tamthiliya yetu pendwa ya Mlete Mzungu imeingia episode 2.
 
Inamaana hamjui kama mgunda ana vyeti?.
 
Ndugu zangu wanasimba poleni na stress za hapa na pale juu ya timu yetu.

Tuna uongozi mbovu haijawahi kutokea. How comes unarelease barua ya kupata kocha mkuu wa Mda (MGUNDA) huku hujajiridhirisha kama ana nyaraka zote zinazotakiwa na mamlaka za mpira?

Vetting ya kumchagua imefanyikaje?

Tuna uongozi makini kweli ndugu zangu??
Kama mnavyoona usajili wenyewe ulifanyika kimagumashi (wachezaji wa mafungu).

Njooni tujadiliane kabla timu yetu haijaanguka zaidi.

Achaneni na issue ya Matola hana shida, shida ni uongozi.

Nipo hoves kabisa mimi nahisi kuchanganyikiwa.
Wewe ni mtopolo
 
Bora Matola yeye amejikubali tu ni misheni town, lakini Mgunda hatambuliki CAF.

Oneni vituko vya TFF hivi, eti huu ndio ufafanuzi wao, CAF wanatambuwa Leseni na siyo vyeti mnavyopeana uwanja wa Karume Ilala.
Akikaa kwenye benchi kesho utakuja kusema nini tena?
 
Back
Top Bottom