Wanatafutwa vijana wa mauzo kwenye kampuni ya M-Gas

Wanatafutwa vijana wa mauzo kwenye kampuni ya M-Gas

Huo mtungi ukiisha gesi inakuaje..inajijaza automatic ama mnaleta mtungi mwingine.??

#MaendeleoHayanaChama
Asante kwa swali lako zuri. Teknolojia yetu inaruhusu kuona matumizi yako na kiasi cha gesi kilichosalia kwenye mtungi wako. Hiyo imetupa unafuu wa sisi tuweka "alert" / "Notification On" au alarm pindi gesi napokaribia kuisha. Ikifika hatua hiyo fundi wetu mara moja atafika kwako na KUKUBADILISHIA MTUNGI uliosalia na gesi kidogo na kukuwekea uliojaa gesi. Mchakato huo hauathiri kwa vyovyote salio ulilonalo kwenye kadi yako ya M-Gas
 
Asante kwa swali lako zuri. Teknolojia yetu inaruhusu kuona matumizi yako na kiasi cha gesi kilichosalia kwenye mtungi wako. Hiyo imetupa unafuu wa sisi tuweka "alert" / "Notification On" au alarm pindi gesi napokaribia kuisha. Ikifika hatua hiyo fundi wetu mara moja atafika kwako na KUKUBADILISHIA MTUNGI uliosalia na gesi kidogo na kukuwekea uliojaa gesi. Mchakato huo hauathiri kwa vyovyote salio ulilonalo kwenye kadi yako ya M-Gas
Ooh..sawa imekaa poa..so hapo mlichorahisisha ni kutambua tu mtungi umekaribia kuisha ndio solution yenu ilipo?

#MaendeleoHayanaChama
 
Ooh..sawa imekaa poa..so hapo mlichorahisisha ni kutambua tu mtungi umekaribia kuisha ndio solution yenu ilipo?

#MaendeleoHayanaChama
Hahaha solution nikwamba hata kama una buku unaweza kusonga ugali ule msosi, sio lazima ukajaze mtungi kwa elfu 50 kma orxy na mihan
 
Ooh..sawa imekaa poa..so hapo mlichorahisisha ni kutambua tu mtungi umekaribia kuisha ndio solution yenu ilipo?

#MaendeleoHayanaChama
Hilo ni moja, kuna mengine mengi tumeyaelezea hapo kama utasoma km vile kununua gesi kidogo kidogo, kufuatilia matumizi yako, huduma ya kuadlishiwa mtungi ukiisha bure, kudhibiti matumiizi ya gesi yako n.k
 
Ukituma taarifa zikifika inabidi uwe na subira, taarifa zote zimefika na muda ulipangwa ukifika wahusika watachekiwa kupitia namba zao walizoandika
 
Naomba namba yako mkuu hii haipo
Uliyonicheck siku ya pili imekuwa haipo tena?. Kuwa na subira tafadhali, sio wewe tuu uliyetuma taarifa wapo wengi na muda uliopangwa ukifika mtapewa taarifa
 
Back
Top Bottom