Wanatulazimisha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli

Wanatulazimisha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
 
Eheheheheeeee, kanda ya ziwa mara tatu 😂!.

Hebu ngoja kwanza tuone mwisho wake, but huyo makamba jr ameshaonyesha kinyongo cha wazi kabisa dhidi ya late Pombe na mchezo 1st half unachezwa kupitia JNHPP ni goli tu ndilo linatafutwa kufungwa ili waje waite 'team media' kuharalisha ushindi wao.

👉🏾 Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
 
Eheheheheeeee, kanda ya ziwa mara tatu 😂!.

Hebu ngoja kwanza tuone mwisho wake, but huyo makamba jr ameshaonyesha kinyongo cha wazi kabisa dhidi ya late Pombe na mchezo 1st half unachezwa kupitia JNHPP ni goli tu ndilo linatafutwa kufungwa ili waje waite 'team media' kuhalisha ushindi wao.

👉🏾 Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
Chuki binafasi ni balaa.
 
Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Kweli kabisa!
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Suluhisho hilo ni big point,pia angeishi kwenye mwelekeo wake wa siku 100 za mwanzo.Sasa hivi kabadilika kabisa moto c moto baridi c baridi.
 
Mimi rais Jiwe kwelikweli sitishwi na sitishiki.
Au nasema uongo ndugu zangu!
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.

Nani alikuwa na imani na huyo Magufuli, kama watu walikuwa na imani naye tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani vile kipindi chake, ili ccm watangazwe washindi kwa shuruti. Msidhani hizi propaganda zenu mfu tutashindwa kuujua ukweli ni upi. Au kwakuwa kipindi chake alijenga hofu kwa vyombo vya habari, na vyote kubaki vinamsifia ndio hatujui ukweli? Angekubali ushindani wa kweli kwenye box la kura ndio ungejua ukweli wa kiwango alichokuwa anakubalika. Hawa wanaorudishwa madarakani sasa wanaujua ukweli kuwa huyo JPM alikuwa anakubalika kiasi gani, na kwenye uchaguzi alipata kura kiasi gani. Usidhani wao ni wajinga wa hivyo.
 
Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.
Watu wa Kanda ya ziwa Wana umuhimu gani? Acheni kujikweza. Wamuelewe ama wasimuelewe jiwe kishaenda jehanamu acha apambane na hali yake.

Samia hapendwi lkn jiwe hapendwi zaidi
 
Nani alikuwa na imani na huyo Magufuli, kama watu walikuwa na imani naye tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani vile kipindi chake, ili ccm watangazwe washindi kwa shuruti. Msidhani hizi propaganda zenu mfu tutashindwa kuujua ukweli ni upi. Au kwakuwa kipindi chake alijenga hofu kwa vyombo vya habari, na vyote kubaki vinamsifia ndio hatujui ukweli? Angekubali ushindani wa kweli kwenye box la kura ndio ungejua ukweli wa kiwango alichokuwa anakubalika. Hawa wanaorudishwa madarakani sasa wanaujua ukweli kuwa huyo JPM alikuwa anakubalika kiasi gani, na kwenye uchaguzi alipata kura kiasi gani. Usidhani wao ni wajinga wa hivyo.
Umeandika ujinga!! watu wasingekuwa na Imani nae wasingemlilia kiasi hicho kwenye msiba wake, jaribu kushirikisha ubongo kabla ya kuandika.
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Hivi ni raisi au mjambiani?
 
PRO LATE,AKILI YAO UKIITAFAKARI INASTAAJABISHA SANA,WANAJUA THE LATE ALIACHA MIRADI MIZITO KWELI NA ILIACHWA IKIWA HAIKUFIKIA HATA 40%,NARUDIA TENA MIRADI MIZITO ,AMBAYO INATAKIWA KUKAMILISHWA ALHAMDU LILAH MAMA ANAIPELEKA VIZURI SANA BILA KUTESA WATU WALA KUUMIZA WATU,ISPOKUWA KWA KUTUMIA VYANZO VYA NDANI NA NA KIASI KIDOGO IKIWA NI MIKOPO NAFUU ALIMRADI MIRADI IENDE NA MENGINE YA KIMAENDELEO YASOGEE
sijui chuki zinatoka wapi,rais anapigana kweli kweli.
 
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.

Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.

1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.

2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.


Matokeo yake.

1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.

Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.

Suluhisho.

Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Habari zake hazina kishindo kama zile za JPM. Anajenga madaraja mengi tu lakini kwa sababu sio mpenda kurasa za kwanza hizo habari hazijulikani kwa mwananchi wa kawaida.
 
Back
Top Bottom