Wanatulazimisha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli

Wanatulazimisha kuendelea kumkumbuka Hayati Magufuli

hangaya atuleteee maji bana
katukatia wiki hii
 
Watu wa Kanda ya ziwa Wana umuhimu gani? Acheni kujikweza. Wamuelewe ama wasimuelewe jiwe kishaenda jehanamu acha apambane na hali yake.

Samia hapendwi lkn jiwe hapendwi zaidi
Ina umuhimu hii tu
Screenshot_20211116-153331.jpg
 
Sukumagang wanaumia sana maana hata umeme na maji mgao kumbe walidanganywa....wacha waisome namba na wakamlilie marehemu wao vizuri.
Awali mlifikri mambo hayatakuwa hadharani!

Sasa hivi vilio vya uhaba wa maji na umeme ni kila kona toka mitaa ya ufipa hadi moshi huko.

Na hapo wanaokomolewa ni sukuma gang
 
Awali mlifikri mambo hayatakuwa hadharani!

Sasa hivi vilio vya uhaba wa maji na umeme ni kila kona toka mitaa ya ufipa hadi moshi huko.

Na hapo wanaokomolewa ni sukuma gang
Sukumagang wanakomolewa live bila chenga maana walizoea kusifia Sasa ndio kazi zinafanyika bila mbwembwe.
 
Sukumagang wanakomolewa live bila chenga maana walizoea kusifia Sasa ndio kazi zinafanyika bila mbwembwe.
Kabisa!
.
Nasikia hata huku kukatika kwa umeme na maji ni ili kuwakomoa sukuma gang!

Mabavicha na michaga gang yenyewe hayaguswi kabisa, kwao umeme na maji ni full 24hrs
 
Umeandika ujinga!! watu wasingekuwa na Imani nae wasingemlilia kiasi hicho kwenye msiba wake, jaribu kushirikisha ubongo kabla ya kuandika.
Msiba sio kigezo kizuri cha mtu kupendwa. Unafiki hukithiri kwenye msiba hasa wa kiongozi mkuu. Uongo, propaganda, jazba (emotions), kujionyesha, kujikomba, hata ujinga tu n.k. ndio mahali pake.

Mdau Tindo yuko sahihi kabisa. Oktoba 2020 Magufuli alipoteza fursa nzuri sana ya kupima anavyokubalika kwa Watanzania wengi kwa “kuiba” mchakato mzima na matokeo ya uchaguzi mkuu. Ushindi mkubwa wa Kikwete wa 2005 (pamoja na fojari za CCM kama kawaida yao) hata “CHADEMA” wanaukubali; waulize hapa.

Kama kweli Magufuli alijua kwamba yeye ni maarufu sana kwa Watanzania wengi halafu akaagiza au akaachia ushenzi wa kiwango kile ufanyike kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020 basi itakuwa uwezo wake wa kufikiri ulikuwa na matatizo makubwa. “Watanzania si wajinga”. Hawapendi tabu tu.

Leo hii si mitaani si ndani ya CCM si nje ya CCM, ni siri iliyo wazi kuwa Magufuli aliamua matokeo ya uchaguzi wa 2020 mezani kwake ili kupanga timu na mazingira ya kutawala milele.
 
Kabisa!
.
Nasikia hata huku kukatika kwa umeme na maji ni ili kuwakomoa sukuma gang!

Mabavicha na michaga gang yenyewe hayaguswi kabisa, kwao umeme na maji ni full 24hrs
Chagagang wao wanaupiga mwingi awamu hii...
 
Nani alikuwa na imani na huyo Magufuli, kama watu walikuwa na imani naye tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani vile kipindi chake, ili ccm watangazwe washindi kwa shuruti. Msidhani hizi propaganda zenu mfu tutashindwa kuujua ukweli ni upi. Au kwakuwa kipindi chake alijenga hofu kwa vyombo vya habari, na vyote kubaki vinamsifia ndio hatujui ukweli? Angekubali ushindani wa kweli kwenye box la kura ndio ungejua ukweli wa kiwango alichokuwa anakubalika. Hawa wanaorudishwa madarakani sasa wanaujua ukweli kuwa huyo JPM alikuwa anakubalika kiasi gani, na kwenye uchaguzi alipata kura kiasi gani. Usidhani wao ni wajinga wa hivyo.
Ukada unakufanya uwe mjinnga.
 
Kanda ya ziwa ina population kubwa kuliko kanda zote nchini. Huyu mama anapoelekea atakosa hiyo support, vyama vya upinzani waanze kujipenyeza hiyo kanda. Kama Chadema inataka kuingia huko ianze kuwapa vyeo watu wa kanda ya ziwa wenye ushawishi kwenye chama waone matokeo yake.
Yaani hiyo CHADEMA bado una matumaini nayo ? Pole sana. Hicho chama kilishajifia bado mzimu tu
 
Kwanza nikopongeze kwa andiko lako lisilo na mhemko ulichoandika ni ukweli kwa 100% .mama alikosea sena kuwarudisha watu wale wale wenye makando kando na hapo ndo anakosa kuaminiwa na walio wengi .
Wanasema ameshawishiwa na retired one, so kukosa kuaminiwa kwake kutatokana na kukubali ushauri pasipo kuufanyia utafiti au kuuliza kwa ushauri mwingine dhidi ya ushauri aliopewa.
 
UKELWELI NI KWANBA WANANCHI WAMEMKUMBUKA SANASANA RAIS MAGUFULI HILO HALIFICHIKI KULA UNAPOPUTA ANAJAJWA AWAMU YA SITA MJIPANGR KWELIKWELI KAMA MNADHANI MTAFUTA LEGACYYA MAGUFULI MTAFELI VIBAYA
 
Kweli kwa akili yako ndogo,Lissu angaweza kumshinda Magufuri?hata kama ccm ilikuwa haipendwi hakuna mpinzani yeyote angasimama na Magufuri akamshinda, acheni kujifariji jengeni vyama vyenu,acheni kusingizia Magufuri wakati vyama vyenu vilikuwa vimeisha jifia tokea 2015,akina Mbowe na Lipumba walipokubali kununuliwa na wanaccm akina Lowassa, Gwajima akiwa mshenga,anguko la upinzani lilianzia hapo.

Magufuli angeweza kushinda, ila sio kwa zaidi ya 2/3. Kama wapinzani wamesishiwa ile ushenzi na uhayawani kwenye uchaguzi ule ulikuwa wa nini?
 
Kama ni kweli hata na wewe walikukosa tu, watu km nyie mnaokwamisha maendeleo ya nchi niwakupoteza tu…watu wako serious na kazi nyie mnatoa mapovu kuwaua nguvu wasiendelee kupambania nchi..kufa utakufa tu km kwa malaria au mtutu kifo ni kifo hakuna kuwahi wala kuchelewa hata swala anakufa kila siku Mikumi…

Uliza ujerumani na China ilikufika pale wangapi walipotea…

Kaa kwa kutulia ww mchepuko wa mtu asiyejulikana.
 
Hoja haikuwa kwamba alikuwa anapendwa na wote kiasi kwamba wasiwepo wanaomchukia, issue ni kwamba kwa jinsi mlivyokuwa mnasemaga tulidhani hana watu wengi wanaompenda kiasi kile.

Ndio maana tulitaka wale walioshangilia wasikamatwe ili tupime na wasiomkubali.
 
Yaani hiyo CHADEMA bado una matumaini nayo ? Pole sana. Hicho chama kilishajifia bado mzimu tu

Hayo ndio matamanio yako, ila kwa bahati mbaya hiki ni kizazi kingine.
 
Huku mtaani!, labda unamaanisha nyuma ya keyboard yako. Huko mikoani kuna miradi mingi inamalizika kimya kimya bila ya kuonyeshwa kwenye runinga wala kupigiwa debe.

Kazi inaendelea bila ya makeke.
Taja miwili iliyokamilika.
 
Ndio maana tulitaka wale walioshangilia wasikamatwe ili tupime na wasiomkubali.
Asilimia kubwa hao wasiomkubali wapo mitandaoni ndio wakina nyie ambao hata kuandamana hamuwezi kwa sababu mpo mitandaoni, kwahiyo nyie huwa ni watu kutafuta visababu tu hapo utasema watu walizuiliwa kushangilia ndio maana hamkuonekana wengi na msipotokeaga kwenye maandamano pia mnasema ni kwa sababu polisi walizuia.

Kikubwa hapa ni kwamba mlikuwa mnasema humu kuwa Magufuli hapendwi sijui kaumiza sana watu kiasi hadi tukadhani msiba wake hautokuwa na watu wengi kwa sababu watu hawampendi ila kilichotokea ni tofauti kabisa.
 
Hayo ndio matamanio yako, ila kwa bahati mbaya hiki ni kizazi kingine.
Sema kilichobadilika ni kipi na sio kuishia kusema hiki ni kizazi kingine wakati watu hurithishana kizazi kwa kizazi, sasa hiki kizazi cha kuomba connection ndio kina kipi jipya?
 
Back
Top Bottom