Kwa vyoyote vile.
Ndiyo maana tukitaja tu jina la Magufuli.. Mapepo yana kuvuruga. Povu kama lote.
Umechagua kuumia kila wakati. hahah.
Sasa unasema siyo halali kwa takwimu zipi?Usitake kuleta upotoshaji wa kijinga, hakuna popote ninapotaka cdm washinde ndio uchaguzi uwe huru. Ninataka mshindi apatikane kihalali, sina tatizo nani anashinda kihalali.
Dhalimu ndio kupandikiza ukhanithi kwenye chaguzi zetu, hivyo tunataka ukhanithi wote uondoke ndio tushiriki, kinyume na hapo goli liko wazi hilo fungeni mshangilie.
Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.
Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.
1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.
2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.
Matokeo yake.
1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.
Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.
Suluhisho.
Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Kweli kwa akili yako ndogo,Lissu angaweza kumshinda Magufuri?hata kama ccm ilikuwa haipendwi hakuna mpinzani yeyote angasimama na Magufuri akamshinda, acheni kujifariji jengeni vyama vyenu,acheni kusingizia Magufuri wakati vyama vyenu vilikuwa vimeisha jifia tokea 2015,akina Mbowe na Lipumba walipokubali kununuliwa na wanaccm akina Lowassa, Gwajima akiwa mshenga,anguko la upinzani lilianzia hapo.Hizo enzi za ccm kushinda zaidi ya 50% zimeshipita. Hiki sio kizazi cha hicho chama cha kizee. Ule ushenzi, ukatili na uhayawani wa wazi haukuwa unafanyika kwa bahati mbaya, bali zama zimebadilika. Hivyo namna pekee ya ccm kushinda kwa sasa ni kupora uchaguzi, ili iendelee kukaa madarakani kwa shuruti. Hutaki jinyonge.
Kabisa kabisa.Yaani wee acha tu…
Maneno ya waziri yanaonyesha wazi kabisa hayupo na huo mradi…imani itoke wapi aisee…
Maji hamna umeme hamna halafu majibu tunayopewa ya kimzaha tu…tumerudi nyuma miaka mingapi sijui…angekuwepo jiwe wangejua maji watatoa wapi yeye anachokitaka ni maji bombani hizo hadithi za ukame ukamueleze shangazi yako…
Rest in peace JPM…ulisema tutakukumbuka
Ukimchafua tunamsafisha hadi mapepo yakutoke. Tutasimama nae.Ww unayemtetea ndio unapagawa tukiweka uchafu wake hadharani, maana ulitaka kumpaka manukato. Kwangu naona ni kama unapulizia kinyesi perfume.
Anabaki kwenye historia ya viongozi waliokuwa wakiteka watu kupitia kundi lake la watu wasiojulikana. Na anakumbukwa sana na watu wenye bureau de change kwa jinsi alivyowatunzia pesa zao.
Nataka kujua kanda ya ziwa ina umuhimu gani ktk hizo siasa? Yaani hiyo unaweza kufanya nn chenye kumwogofya Samia hadi aje mara nyingi huko?Siasa za nchi hii kama unazijua vizuri ziko kanda ya Ziwa.
Katika nchi hii tunakoelekea kanda ya ziwa lazima ipewe kipa umbele tu upende usipende.
Ukita kujua angalia tangu Magufuli afariki, Mbowe ameshaenda kanda gani mara nyingi kuliko zote?. Samia na Mpango na Majaliwa wameenda kanda ipi mara nyingi kuliko nyingine?
Alibadili gia angani na wala hahitaji kura yako. Huyo aliyempa nafasi karejea ccm. Mimi nilidhani kampa nafasi mmarekani kumbe mtanzania. Ww na mumeo ndio mnataka kuendelea kutawala na ccm. Hakuna aliyetawala nchi hii bila kuwa na kabila. Na kwa taarifa yako hakuna anayehitaji kura yako ww na hilo kabila lenu.
Acha kumung'unya maneno huyu Mama Urais hauwezi tuna kosa vitu vya msingi kama Maji na Umeme halafu anakaa kimya na mtazamaji kama vile na yeye ni raia wa kawaida.Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.
Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.
1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.
2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.
Matokeo yake.
1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.
Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.
Suluhisho.
Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Nani anakulazimisha wewe cheti feki fisadi na mzembe kumkumbuka magufuli?Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.
Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.
1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.
2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.
Matokeo yake.
1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.
Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.
Suluhisho.
Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Kanda ya ziwa ina population kubwa kuliko kanda zote nchini. Huyu mama anapoelekea atakosa hiyo support, vyama vya upinzani waanze kujipenyeza hiyo kanda. Kama Chadema inataka kuingia huko ianze kuwapa vyeo watu wa kanda ya ziwa wenye ushawishi kwenye chama waone matokeo yake.Watu wa Kanda ya ziwa Wana umuhimu gani? Acheni kujikweza. Wamuelewe ama wasimuelewe jiwe kishaenda jehanamu acha apambane na hali yake.
Samia hapendwi lkn jiwe hapendwi zaidi
Huku mtaani!, labda unamaanisha nyuma ya keyboard yako. Huko mikoani kuna miradi mingi inamalizika kimya kimya bila ya kuonyeshwa kwenye runinga wala kupigiwa debe.Nimeangalia mwenendo wa Utawala huu uliopo naona kabisa Rais hana hiana na Mtu na wala hana shida na Mtu. Wana hana hiana na Team Hayati Magufuli.
Nime kuja kugundua vitu viwili tu ambvyo vinarudisha nyuma imani ya wananchi kwa serikali ya awamu ya Sita. Naviorodhesha hapa chini afu nitafafanua siku nyingine.
1. Rais ameruhusu watu waliokuwa na chuki na Hayati JPM kuingia Serikalini na kuruhusu watu haohao kuendelea kukandia awamu iliyopita bila kujali matoke yake.
2. Wana nchi bado wana majonzi ya kuondokewa na Rais Wao. Imani yao ingebaki kuwa salama kama Rais angesafiri na Serikali ile ile kwa mda fulani hadi majonzi yaishe/yapungue.
Matokeo yake.
1. Rais anakosa kuaminiwa na watu wa chini na walio wengi.
2. Wafuasi wa Hayati JPM hawataki tena kushirikiana na viongozi waliowekwa na Rais. Mfano Makamba Jr.
3. Chuki zidi ya Rais inazidi kushamili huku mtaani.
4. Kasi ya utendaji kazi inashuka na miradi kutokamilika kwa wakati.
Pamoja na Mambo mazuri kabisa anayoyafanya Rais bado wananchi hawajamuelewa. Mfano Rais ameshaenda Kanda ya ziwa mara tatu na zaidi na kuzindua miradi mingi mno lakini ukweli kwa kwamba watu bado hawajamuelewa.
Suluhisho.
Rais awe makini sana na watu wanao kandika utawaala wa mtu aliye kwisha kuaga dunia.
Rais ateuwe watu wanao weza kumsaidia kazi hususani watu wapya na wenye ujuzi: Aachane na majina yaleyale yenye makando kando.
Kwahiyo hata wale waliyojitokeza kwenye kumzika nao walikuwa hawamkubali? Chadema tu ilifikia hadi kumchukua Lowassa ili kushinda uchaguzi nao utasema hawakubaliki ndio maana hadi wakamchukua Lowassa?Nani alikuwa na imani na huyo Magufuli, kama watu walikuwa na imani naye tusingeona chaguzi za kishenzi na kihayawani vile kipindi chake, ili ccm watangazwe washindi kwa shuruti. Msidhani hizi propaganda zenu mfu tutashindwa kuujua ukweli ni upi. Au kwakuwa kipindi chake alijenga hofu kwa vyombo vya habari, na vyote kubaki vinamsifia ndio hatujui ukweli? Angekubali ushindani wa kweli kwenye box la kura ndio ungejua ukweli wa kiwango alichokuwa anakubalika. Hawa wanaorudishwa madarakani sasa wanaujua ukweli kuwa huyo JPM alikuwa anakubalika kiasi gani, na kwenye uchaguzi alipata kura kiasi gani. Usidhani wao ni wajinga wa hivyo.
Chanzo ni ccm ambayo hata huyo anayokumbukwa kaikuta hiyo ccm ambayo ndio chanzo kikuu cha matatizo,ila ajabu watu et wanadai walimuomba Mungu amuondoe Magufuli na wakasahau kuwa chanzo cha tatizo ni ccm.Huyo unayemkumbuka ndio chanzo kikuu Cha matatizo
Kwanza nikopongeze kwa andiko lako lisilo na mhemko ulichoandika ni ukweli kwa 100% .mama alikosea sena kuwarudisha watu wale wale wenye makando kando na hapo ndo anakosa kuaminiwa na walio wengi .Eheheheheeeee, kanda ya ziwa mara tatu [emoji23]!.
Hebu ngoja kwanza tuone mwisho wake, but huyo makamba jr ameshaonyesha kinyongo cha wazi kabisa dhidi ya late Pombe na mchezo 1st half unachezwa kupitia JNHPP ni goli tu ndilo linatafutwa kufungwa ili waje waite 'team media' kuharalisha ushindi wao.
[emoji1485] Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
Hoja haikuwa kwamba alikuwa anapendwa na wote kiasi kwamba wasiwepo wanaomchukia, issue ni kwamba kwa jinsi mlivyokuwa mnasemaga tulidhani hana watu wengi wanaompenda kiasi kile.Hata majambazi huwa kuna watu wanawalilia wakifa. Mbona walikuwa wanazuia waliokuwa wanashangilia?
Unamatatizo jiangalie bara bara njia 8 kmara aliiacha ikiwa ni zaidi ya 92% kipande cha dara marogoro kilikuww zaidi ya 90% tanzaniate Bridge zaidi ya 80% busi s lile daraja lilkuww zaidi ya 42 mradi wa bwawa ulikuwa unaenda viziru zaidi 46% sasa sijui ylikuwa kwennye nchi ganiPRO LATE,AKILI YAO UKIITAFAKARI INASTAAJABISHA SANA,WANAJUA THE LATE ALIACHA MIRADI MIZITO KWELI NA ILIACHWA IKIWA HAIKUFIKIA HATA 40%,NARUDIA TENA MIRADI MIZITO ,AMBAYO INATAKIWA KUKAMILISHWA ALHAMDU LILAH MAMA ANAIPELEKA VIZURI SANA BILA KUTESA WATU WALA KUUMIZA WATU,ISPOKUWA KWA KUTUMIA VYANZO VYA NDANI NA NA KIASI KIDOGO IKIWA NI MIKOPO NAFUU ALIMRADI MIRADI IENDE NA MENGINE YA KIMAENDELEO YASOGEE
sijui chuki zinatoka wapi,rais anapigana kweli kweli.
Mulaaniwe.PRO LATE,AKILI YAO UKIITAFAKARI INASTAAJABISHA SANA,WANAJUA THE LATE ALIACHA MIRADI MIZITO KWELI NA ILIACHWA IKIWA HAIKUFIKIA HATA 40%,NARUDIA TENA MIRADI MIZITO ,AMBAYO INATAKIWA KUKAMILISHWA ALHAMDU LILAH MAMA ANAIPELEKA VIZURI SANA BILA KUTESA WATU WALA KUUMIZA WATU,ISPOKUWA KWA KUTUMIA VYANZO VYA NDANI NA NA KIASI KIDOGO IKIWA NI MIKOPO NAFUU ALIMRADI MIRADI IENDE NA MENGINE YA KIMAENDELEO YASOGEE
sijui chuki zinatoka wapi,rais anapigana kweli kweli.
Sukumagang wanaumia sana maana hata umeme na maji mgao kumbe walidanganywa....wacha waisome namba na wakamlilie marehemu wao vizuri.Makamba anawaumiza sana Sikuma gang
Mwacheni kijana afanye kazi
Wakati wa uongo uliisha tar 17 March