mwigulu ni dk katika tasnia ya uchumi kutokana na uharibifu wa kiuchumi uliokwisha tokea hapo awali itaichukuwa tanzania miaka 2 ili mzunguko urudi katika hali yake ya kawaidaHivi huyu jamaa kasoma uchumi kweli?
Hakuna mchumi pale na pia hizi Elimu mtu anaweza kufauru Theory harafu vitendo akawa hamna kitu mbinu anazotumia Mwigulu ni kama hajasoma hata darasa moja kwenye hiki kipindi kigumu cha ugonjwa wa Covid hakuna mchumi pale...Hivi huyu jamaa kasoma uchumi kweli?
Kuna tofauti kati ya kusomea uchumi na kutumia mbinu za kiuchumi. Uliza kama Bakhresa amesomea uchumi au anajua mbinu za kiuchumi.Hivi huyu jamaa kasoma uchumi kweli?
Ukisomea uchumi hata mbinu za kiuchumi pia si unafundishwa?Kuna tofauti kati ya kusomea uchumi na kutumia mbinu za kiuchumi. Uliza kama Bakhresa amesomea uchumi au anajua mbinu za kiuchumi.
Mwigulu Nchemba ni memba mwenzetu, hebu alijibu swali lakoBondia wakuu.
Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema.
Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa wananchi kwenye mzunguko. Sasa akizitoza na kuzirudisha tena kuna mzunguko wowote wa pesa unakuwa umeongezeka?
Bwana Madelu anatwanga maji kwenye kinu baada ya kwenda kuyateka mtoni na tenga kutokana na kutojaza ndoo ikiyotoboka aliyokua akikinga mbonaniBondia wakuu.
Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema.
Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa wananchi kwenye mzunguko. Sasa akizitoza na kuzirudisha tena kuna mzunguko wowote wa pesa unakuwa umeongezeka?
Ijategemea na desa ulilokua unatumiaUkisomea uchumi hata mbinu za kiuchumi pia si unafundishwa?
Sio tuu mzunguko bali mzunguko wenye tija.Bondia wakuu.
Mwigulu alisema kuwa pesa zitakazopatikana kwenye Tozo zitaenda kujenga vituo vya Afya nk. Tena akasema watatumia mafundi wa eneo husika ili kuongeza mzunguko wa pesa. Kuwa pesa za tozo zitaenda kuleta neema.
Sasa hizi hela za tozo kabla ya kukatwa zilikuwa wapi? Si zilikuwa kwa wananchi kwenye mzunguko. Sasa akizitoza na kuzirudisha tena kuna mzunguko wowote wa pesa unakuwa umeongezeka?
Zimeongeza mzunguko hazijaongeza?Sio tuu mzunguko bali mzunguko wenye tija.
Zimeleta tija ya vituo vya afya,maji,mashule na barabara Vijijini.
Hakuna jipya hapo ni sawa na Kodi tuu zingine unazozijua wewe,zinachukuliwa kwa watu afu zinarudishwa kwa tija zaidi.
Mngebakia nazo mngeishia kuhongana tuu na hakuna cha maana sana zingeleta .
Hazijaongeza maana zilikuwa huko huko kabla but zimeongeza tija zaidi .. Mzunguko unaongezeka kukiwa na fedha mpyaZimeongeza mzunguko hazijaongeza?