Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nimeona hii reply kwenye uzi, ikanifikirisha sana.
Mtu mpaka anaandika hivi lazima kuna kitu kizito nyuma yake.
Nini kimewafikisha hapa? na kuna chochote tunaweza kufanya kuwapunguzia hizi frustrations?
www.jamiiforums.com
Mtu mpaka anaandika hivi lazima kuna kitu kizito nyuma yake.
Nini kimewafikisha hapa? na kuna chochote tunaweza kufanya kuwapunguzia hizi frustrations?
Wanawake wenzangu njooni tuzungumze kidogo
Mtaani huku wenzako wanasema kikubwa kavaa shela na kupigiwa tarumbetahata kama ndoa itakufa kesho yake. Duuh 😅😅