Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Hapo mwisho umenikoshaMwanamke ni chombo cha starehe
Ndoa ni upuuzi ushamba na kupoteza muda
Mwanamke uliyebahatika ndoa kaa mbali na singo maza
Wanawake sikuzote hampendani furaha yenu ni kuona mwanamke mwenzenu anaharibikiwa
Mwanamke haolewi bali anamilikiwa, kufa na kuzikana ni upuuzi ulioanzishwa kutaka kumfanya mwanaume akose mamlaka...
Ndoa za kislam zinadumu kwasababu wanawake wanajua wao ni chombo cha kumpa mwanaume amani upendo na furaha
Ndoa za kikrsto hazidumu kwasababu wanawake wanaamini kuolewa ni kwenda kwa mwanaume kumchuna mali na kusubiri afe amiliki mali
Ndoa za kislam pia zimeanza kuharibika kwasababu wanawake wao wameanza kuiga upuuzi wa falsafa potoshi "kufa na kuzikana"
Dunia inavyozidi kufikiria namna ya kumpokonya mwanaume haki zake za asili pamoja na mamlaka, basi ndivyo wanawake wanageuka kuwa kituko ktk jamii, wanawake wanabaki kuwa wajaza dunia tu na thamani ya mwanamke inazidi kupotea...
Maswali ambayo mnatakiwa mjiulize ni kwanini Singo maza wanaongezeka?
Kwanini wanawake wamekuwa walevi wanakesha bar?
Kwanin wanawake kulala na mwanaume yeyote imekuwa jambo la kawaida?
TRUMP na USA yake wamegundua dunia ilipokosea ndio maana sasa Trump anatumia nguvu kubwa kuibadirisha jamii yake... Nyie Africa mnadhan kuiga upotoshaji ni ujanja...
Watanzania MRUDIENI MUNGU, RUDINI KTK MILA NA DESTURI ZA KITANZANIA...
Kidumu chama tawala👍
People's power forever ✌️