Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

Wanaume: Acha ujumbe kwa demu aliyekula nauli alafu hajatokea!

Kuna mpuuzi mmoja alikuja akanipangia masharti ya kumla wakati nishamtumia hela ya shopping!.. Kumtimua kwangu Mbwa yure nikajifanya kumuwahi niwapigie customer care waizuie wakanambia washaizuia nikarelax!. Kupita masaa 24 hela haijarudi nawapigia customer care wananambia kulikuwa na matatizo kwenye mtandao haikuzuiwa na mbwa imeshaitoa hela!.
Nasemaje wewe Ik*$%% na hao customer care wa @#%% wote mbwaaaa!!..
Siku hiyo ngekubaka tu nijue moja!.. hela umekula mzigo ukanipangia masharti!..

Yaishie uzi huu huu hayo mambo!.[emoji115]
On behalf of emoji ha ha ha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha wewe....kweli Pwani raha, wacha nitafute wa kunitumia nauli nirudi zangu kwetu Pwani
Nilisha kuambiaga kwamba....
Nikipiga jibapa/nyagi kubwa, nakua pwani wako tosha.... tehteehhh
 
Nilisha kuambiaga kwamba....
Nikipiga jibapa/nyagi kubwa, nakua pwani wako tosha.... tehteehhh
Achana na. Pwani wewe, Mshirombo weye utayawezea wapi mambo ya pwani wewe...[emoji12]
 
Bora usimpende maana ukimpenda utanasa [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Nitanasa na busha lake nikipiga mdomo priiiiii priiiiii linashtuka ataniweza wapi miye
 
Achana na. Pwani wewe, Mshirombo weye utayawezea wapi mambo ya pwani wewe...[emoji12]
Huku Ushirombo, sijawahi kubebwa kwenye mbeleko kama vile ulivyo nibeba siku unaenda kuniogesha......😁😁
Na sinto saha vile venye ulinitunzia dhakar kwenye kisosi, ulipo nikalisha kwenye kigoda.... tehteehhh
 
No mwendo wa tumia yako ukifika nakurudishia mara 2 yake . Karb sipigwagi mara 2
 
Msiwaonee uruma ao ma bidada wanaweza nyonya adi damu kama ingekua inawezekana sio Pesa tuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom