Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Nitumie we nitakujaHahaha Nina mpango wa kukutumia ule na zangu au vipi?[emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie we nitakujaHahaha Nina mpango wa kukutumia ule na zangu au vipi?[emoji23] [emoji23]
Inauma mno ndip hivyo pote huwezi tapeli saa zingine lazima utapeliwee akili ikae sawaHahahahahha hakuna kitu kinauma kama hicho
Hahaha sawa ila hii ni km sadaka tu,hata usipotokea hkn lawama juu yakoNitumie we nitakuja
Inachanwa ya anayeleta usumbufu. Muulize bibi yako kama nlishawahi kuchana "kinasha" chakeNa kyupi mlikuwa mnachana kabisa
Kwani mganga analo?maana watu wa pwani nasikia ndio zaoMm nalipenda nitakuwa napuliza mdomo priiiiii priiii nione
mimi mbona kuna mtu nilimlipa elfu 90 badae akaniletea mizinguo.. tena mimi tigo yeye voda.. nikawmabia basi nimekusamehe ..ila huku nishawaeti voda na tigo kila siku nawaendeka hewani kukumbusha wakaniambia tunasuburi aweke pesa tutamkata..ndani ya siku tano nsiki kitu hicho.. jamaa akanipigia simu nikamwambia kuna wajanja zaidi yako... mitandao ya simu ukiongea nao pesa yako inarudi.. labda uliyemtumia asiweke salio tena.Hiyo haipo tumeshajaribu tukashindwa kuna mtu alitoa pesa bila ridhaa mpaka leo mizinguo masharti wanasema eti upige simu hapohapo wakati yeye kaweka hela huwez
njoo pm kuna kitu natak kukuambiaNaogopa baba mwenye nyumba atasoma anifungishe virago[emoji23][emoji23][emoji23]
Nije kuchukua nauli ehnjoo pm cuteb
hahha ha aNije kuchukua nauli eh
DuhYeye ndo anawapa mabusha wanaonitongoza