Wanaume acheni huu uchafu

Ombi lako tumelifikiria sana ilà kwa kauli moja tumekataa, hatukubali wala hatuoni sababu za kubeba makopo ya maji. [emoji23][emoji23]
 
Haina haha ya maji bhana...unalenga tu kwenye tundu mchezo kwisha
 

print hii kitu ukabandike chap mlangoni mwa msalaani usiku wa manane, utakuwa umetatua tatizo kuliko kupachika hapa huenda ujumbe huu usimfikie huyo bwana handsome mpangaji mwezi.
 
Hey ..hey. hey!!!.. stop right there sio wanaume wote......wengine kunakua na kila kitu hukohuko.......
 
Nakumbuka wakati tunasoma chuo kuna muda ilikuwa tunavizia usiku wa saa saba ndo tunaenda washrooms za wadada.

Maana za kiume hali ilikuwa si hali.
[emoji23][emoji23][emoji23] mnaona sasa mambo yenu? Mnaenda kwa wadada mnakojoa mnaacha mikojo yenu inanuka
 
UDSM hall 2 na hall 5 enzi hizo, sijui kama sasa hivi kuko okay.

Kama Mungu alituepusha magonjwa kwa vyoo vile, hata hii corona itapita tu.
Kwa hiyo pale mlikuwa mnaenda wapi? Hall 3 au 4?
 
ulivosema asilimia kubwa upo sahihi, hua nakereka sana na hiyo tabia mijitu mingine huenda mbali na kufikia kukojoa pembeni ya tundu la choo
Hahaha ni shida hawa wanaume wetu
 
Bora wewe unajiheshimu boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…