financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Khaa hao majirani nuksi😀, basi nenda na ndoo ya maji kama unaona kopo jau, ili wajue unaenda kuoga kumbe short call tu.Kwahiyo vizuri kwenda na mjikopo au ndoo😲
SIWEZI WALAHI..!
Hawa jirani nilionao wana visa utakuta wamekuandikia mlangoni kwako "jirani pole kwa kuhara"
Kumbe we unaenda kukojoa tu na vile wengine kila mara kukojoa utafikiri tunakomoa si ndo watajua huyu kala popo😅
Dah! SIWEZI kuhangaika na maji kwa maji yenzieKhaa hao majirani nuksi😀, basi nenda na ndoo ya maji kama unaona kopo jau, ili wajue unaenda kuoga kumbe short call tu.
Hapa ndo umemaliza mjadalaHumu ndani sote tunaishi nyumba zenye maji mpaka chooni isipokuwa wewe, so hili bango lako bora ukabandike kwenye hicho choo mnachoshea.
Madam, unashea choo na baa au?Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
we we we we we we....Word kwa kweli nahisi hata UTI tunatoa kwao muda mwingine
Usikutane na mtu ambar hajajisaidia haja ndogo muda mrefu, au mlevi hajasafisha utajuta
iiih we mkaka sijaona come zako kitambowe we we we we we....
Soma ueleweMwanaume hawezi kubaki na uchafu wa mkojo Kama atakojoa mpaka mwisho. Sasa maji anaenda kuosha nn kwa mfano wakati mkojo ukisha kata hamna kinacho toka? Au mnataka tuoshe mapumbu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaaanza kupishana nazo za kutosha na hii Lockdown tenaiiih we mkaka sijaona come zako kitambo
Kwakweli nitazisubiriUtaaanza kupishana nazo za kutosha na hii Lockdown tena
😁😁😁 umemaliza mkuuHumu ndani sote tunaishi nyumba zenye maji mpaka chooni isipokuwa wewe, so hili bango lako bora ukabandike kwenye hicho choo mnachoshea.