Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo maji nikienda nayo nitayafanyia nini?
Huruhusiwi kunywa maji toilet
Ahsante kwa kunisaidiaMnaokataa mnajifanya wajuaji ila mleta mada anafundisha tabia njema za kuishi na watu katika jamii.
Hakuna kitu kinachokera kama kukutana na harufu ya mikojo iwe kwa mwanamke ama mwanaume, muhimu wanajamii tunapokwenda haja ndogo tuwe tunajisafisha sehemu zetu za siri na kunwagia maji mikojo yetu ili kuepusha harufu mbaya kwa wanajamii wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali bibie usituzushie uongoWord kwa kweli nahisi hata UTI tunatoa kwao muda mwingine
Usikutane na mtu ambar hajajisaidia haja ndogo muda mrefu, au mlevi hajasafisha utajuta
Bacteria zinazobaki toilet ni za kunenepesha?! Mlevi umelewa tayar?!
Naongelea vyoo vyetu hivi
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Bacteria zinazobaki toilet ni za kunenepesha?! Mlevi umelewa tayar?!
98% hawabebi ng'oo!Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Heheh na nyinyi mmo
Napinga na nakemea kwa ukali hili nalishikia kidedea HATUTA NA HAITA,HAIWEZEKANI WANAUME TWENDE CHOONI NA MAJI KISA MKOJO!
#HATUPANGIWI.
Hayo yakwenu.na uislam safi ni kuosha rungu kwa maji baada ya kukojoa.
Nashukuru umesema asilimia kubwa ya wanaume, kwamba sio wote.Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Kwa tundu gani sasa best mpaka nibebe mkopo wa maji
Jr[emoji769]