Wanaume acheni huu uchafu

Wanaume acheni huu uchafu

Mnaokataa mnajifanya wajuaji ila mleta mada anafundisha tabia njema za kuishi na watu katika jamii.

Hakuna kitu kinachokera kama kukutana na harufu ya mikojo iwe kwa mwanamke ama mwanaume, muhimu wanajamii tunapokwenda haja ndogo tuwe tunajisafisha sehemu zetu za siri na kunwagia maji mikojo yetu ili kuepusha harufu mbaya kwa wanajamii wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna safari ndefu sana! Karne ya ishirini na moja bado tunazungumzia kumwaga maji chooni!
 
Mnaokataa mnajifanya wajuaji ila mleta mada anafundisha tabia njema za kuishi na watu katika jamii.

Hakuna kitu kinachokera kama kukutana na harufu ya mikojo iwe kwa mwanamke ama mwanaume, muhimu wanajamii tunapokwenda haja ndogo tuwe tunajisafisha sehemu zetu za siri na kunwagia maji mikojo yetu ili kuepusha harufu mbaya kwa wanajamii wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa kunisaidia
 
Hata mume wako anahusika au yeye ni mstaraabu kidogo
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
98% hawabebi ng'oo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo hata tukitaka kuwakojolea kwenye papuchi pia tuwe tunabeba maji ama?
 
Habari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?

Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...

Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Nashukuru umesema asilimia kubwa ya wanaume, kwamba sio wote.
Sasa inakuaje kichwa cha habari kiseme wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom