Wanaume acheni huu uchafu

Na sisi wa Bushi star!? Magunzi (Mishenento) tunabaje/tunabeba nini!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mmhh Hapa umetudanganya Testical itch inasababishwa That way kweli ??
Pugu boys Sababu ni Maji ya Kisimani (pondi ) wala sio kingine
Unakuta kukojoa anachuchumaa..
No... anakaa kabisa kwenye sink for him to pick up germs..

Hata hivyo.. Kama Ni choo cha kukaa (European toilet) na mnashare wengi hilo Ni bomu kwa nn ukae!? Dunk au chuchuma juu yake[emoji16][emoji16].. Kama Ni wengi bora mtumie Squatting Toilet..

Either way Kama Jamii ya Male Creatures kubeba maji kutaufanya mkojo kuwa zoezi Muhimu Sana ..Ubongo unagoma kurearrange... Kukata na Kulimwaga haviwezi kamwe kupata same treatment.. Mtusaidie tu.

Tunaloweza kuahidi tutakunywa "mma" kwa wingi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Utamaduni wa pwani huo.. baadhi ya mikoa utaulizwa kama hujabeba gazeti au kibunzi cha mahindi[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Utamaduni wa pwani huo.. baadhi ya mikoa utaulizwa kama hujabeba gazeti au kibunzi cha mahindi[emoji1][emoji1][emoji1]
Hiyo haina shida maana huko kila mtu anatia mzigo wake shimoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…