Ni kweli, lakini mkojo ni mkojo hata wa mtoto unanuka
Wawekee ndo ya maji hapo chooni, itasaidia sanaHabari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Hahahah kwa hio viboksa vinanuka mkojoHabari ya weekend
Leo naomba niwaulize enyi kaka zetu na baba zetu, aliyewaambia kuwa ninyi mkienda msalani kwa haja ndogo hamtakiwi kubeba maji ni nani?
Utaona mkaka mtanashati kabisa, kwa macho ya kawaida anaonekana anajiheshimu ila sasa muangalie mambo anayofanya ptuu yanatia aibu. Tunaoishi kwenye nyumba zenye vyoo vya kushea tuna tabu sana...
Hebu bebe ni maji sio uungwana kuingia kule mahali then unaacha harufu ya mikojo, asilimia kubwa ya wanaume mnafanya hivi sio vizuri kwa kweli.
Niwatakieni wiki njema
Out of topicKubeba maji kwenda chooni, kutumia maji chooni ni utamaduni wa mataifa ya mashariki. Mataifa ya magharibi hayatumii maji chooni wakati wa kujisaidia. Wanatumia karatasi. Ndio maana waliojenga kwa kutumia mtindo wa magharibi hutakuta bomba la maji chooni. Kwa hiyo sio lazima.kwenda na maji chooni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu waambie hawa wanaume wenzio jamaniNiliwahi kwenda nyumba moja niliondoka na fangasi za korodani kwa sababu ya uchafu wa mikojo ya chooni!
Kila mtu anamwaga kojo mifangasi inajaa mule unaweza kuugua mpaka roho ikatoka!
Shughuli ya fangasi waulize pugu boys watakuelezea habari yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁
Waislam tumelazimishwa na sheria kuosha vikojoleo pia. Ni lazimaUnamwaga pale ulipokojoa
Ana maanisha tukikojoa tuoshe ndonga. Si ndio hivyo KhantweHumu ndani sote tunaishi nyumba zenye maji mpaka chooni isipokuwa wewe, so hili bango lako bora ukabandike kwenye hicho choo mnachoshea.
Tatizo hata tukijaza huwa hamzingatii usafi dakika moja kujisafisha naniii na kumwagia maji sehemu ulipokojolea ni kazi kubwa.Siwezi beba maji mtatusamehe. Halafu na nyie tafuteni diaba muwe mnajaza maji huko msalani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi eeh kojoeni hukohuko kwenye majaniBasi sawa, tutatafuta namna.
Kiukweli hili tatizo ni la kitaifa, ndiyo maana mara nyingi huwa tunaamua kukojoa kwenye majani ili kukwepa hizi kelele za usafi.
Kama maji yapo me huwa nafungulia au kumwaga.Tatizo hata tukijaza huwa hamzingatii usafi dakika moja kujisafisha naniii na kumwagia maji sehemu ulipokojolea ni kazi kubwa.
Kwako kuacha harufu ya mkojo chooni ni sawaHumu ndani sote tunaishi nyumba zenye maji mpaka chooni isipokuwa wewe, so hili bango lako bora ukabandike kwenye hicho choo mnachoshea.