Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Kuna wengine ukimuona utasema huyu si ndiye mwanaume, lakini kila wanachoambiwa na mkewe anasimulia ndugu zake, kwahiyo mke anakosa heshima, ukweni halafu yeye anaona sawa tu eti kichwa cha familia kama si kichwa Cha bata
 
Tafuta mwanaume mwenye pesa akuwekee house girl. Ila kama hauna mvuto kwa watu wenye pesa hakuna namna endelea kufua na kuosha vyombo.
Kama huwezi tafuta pesa ajiri mfanyakazi akuhudumie
 
Wewe ukirudi nyumbani huwa unasafisha nyumba ,unafua unawangalia watoto? Mke anafanya yote hayo Kwa pamoja, embu chukua likizo wiki mke awe mtafutaji ukae nyumbani na watoto zako tena wadogo ili ujidunze.
Mimi narudia hizo wala sio kaz na wala usinihusishe kwenye mambo ya kipuuzi ya namna hiyo tafadhali...

Mke ni emotional and psychology comfort wa mume na sio reason of frustration and suffering...

Mambo ya kufua na sijui kupika uliza hao ordinary men...

Hizo kwa baadhi ya nyumba zetu sio kazi
 
Kujaza ukoo wenu kazi ndogo. Mtoto azae mwengine jina abebe lako , wee unaona kazi ndogo hiyo bado unibebeshe na matusi juu nikikosea kazi.
Umeandika madudu

Kwani watoto ni wa mume peke yake ... Mungu kakuumba kakupa kizazi tulia uzae ujaze Dunia na uchangie nguvu kazi ya taifa
 
Mtu wa maana Kabsaa wewe, mke ni emotional and psychology comfort kwa mume kufua sio kazi zake
 
Yote yanawezekana tengenezeni mazingira hayo na nyinyi wapenzi wetu mmezubaa mno hata kwenye zoezi lenyewe linalotuunganisha
 
Possibly umemuongelea mke ambae ni mama wa nyumbani. Sawa tuondoe hayo majukumu ambayo umeyaita ni utumwa, je majukumu ya uyo mwanamke ni yepi.?
 
Kwanza wenzio ndio wanapenda hizo kazi.
 
Una ofa nn kwenye mahusiano zaidi ya hyo over used coochie. Punguza ngenga eti hela yenyewe hana si umuache rudi kwenu kizabizabina mbona umo tu. Cheap Hoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…