Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Ndio maana nikasema kwa mwaume mjinga ndiye atakubaliana na upuuzi wako.Unadhani wanaume wote wanaakili sawa , wengine wake zao kupika ni hiyari yake sio lazima.
Siwezi kulelewa kimaadili ya wazazi nikakubali mwanamke aniletee mawazo kama yako nikakubali.
Haki sawa zinaishia majukwaani huko ukifika kwangu fata utaratibu.
Umesikia wewe bichwa