Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kuwa msimbeKula ulichokikuta sio unachokitaka.
Kufika utafua tena hadi boxer na kupika utanipikia.Ndo kilichonipeleka sio kupika Wala kufua
Jibu zuri kwa mtoa madaMind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!
Minding your own Business
Is a Full time Job
Stay Employed.
Division of labourYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
kwaheri, maana wasimbe wamepuyanga wewe, sasa jua limezama ndio mnaanza chokochoko kujifanya watetezi wa haki na haki zenyewe hamzijuiMara 1000
SafiAm minding my own business and yours too.
Ko umekubaliana na mimiSio wote werevu , wajinga wapo pia
🤣🤣🤣🤣 analima kama kibarua mume anazungusha kende umejua kunichekeshaKuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
😄😄😄Had watu waliingilia kat ndo nilipata msamahaUlimuaibisha ataachaje kuongea ila kama mngekuwa wenyewe asingebwata siku 7😅 ila siku 7 ni nyingi sanaa looh!!
Wewe ukirudi nyumbani huwa unasafisha nyumba ,unafua unawangalia watoto? Mke anafanya yote hayo Kwa pamoja, embu chukua likizo wiki mke awe mtafutaji ukae nyumbani na watoto zako tena wadogo ili ujidunze.Si na wewe uoe mkuu uone ilivyo kazi kulea mtoto wa mtu hadi azeeke na akikuletea shobo ufungwe jela maisha na zaid ya hapo ukizingua ufe wewe...
Na mali zako unazotafuta kwa jasho na damu ziitwe za watoto na ndugu zako hawana haki juu yake
Hiyo ya kufua mbona ndogo sana...