Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Ila wew😂😂Ananawa tu huyu hawezi kuoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wew😂😂Ananawa tu huyu hawezi kuoga
Naongezea hapa kutoa Mahali pia ni mfumo dume... kwanini isiwe 50/50 kama wanataka tufanye kazi kwa usawaKasema mwenyewe sasa kwanini nipingane naye wakati kasema mwenyewe.
Mfumo dume mnaulalamikia pale unapokuwa hauwanufaishi. Mfano linapokuja suala la mwanaume kutoa pesa za nyumbani hapo sasa si mfumo dume hapo sasa ni majukumu yake.
Mm naomba mnitoe 😄Naongezea hapa kutoa Mahali pia ni mfumo dume... kwanini isiwe 50/50 kama wanataka tufanye kazi kwa usawa
Majority ya wanawake wanao ona wanaonewa ni wapumbavu
We unaunguzaje mboga halafu uchekeweKufua na kupika hatujakataa ni kusaidiana, sasa ndo mtutukane kazi zisikosewa!?, tena mbele za watu!?.
Ubarikiwe na ndoa yako idumu milele.... wewe ni mfano wa kuigwa👍Mie kumpikia, kumfulia na kumfanyia vitu vingine shemeji yenu najisikia raha sana! Na wala si kutumikishwa...! Siwezi kumuachia dada afanye vitu vinavyomuhusu mume wangu.
Bora utoke tu ila hii 50/50 wanaume tukikaza hamna mwanamke anatoboaMm naomba mnitoe 😄
Hii breed yako inapatikana wapi mkuu, maana siku hizi wanawake wenye fikra hizi adimu na mimi nikajichukulie mmoja kwa kweli.Kupika kufua ni vitu ambavyo havina maana mwanamke kulia kulia
Kwanza ukimpenda mumeo huwez kutamni ale nje Wala asile chakula chako
Hayo ni matendo ya Kuonyesha upendo na yanabust upendo pia
Kama ni mkorofi hapo sijui wajuz watakuja wakusaidie
Jifunze kuwafurahisha unaowapenda
Huon aibu umri huo unakosea kufua na kuosha vyombo.... interestingKwahiyo kwako ni sawa tu ukitukanwa mbele za watu kisa umekosea kufua au kuosha vyombo!?.
Ipo ng'ombe moja nilimwambia pika tule ilijibu nimechoka pia mimi sio house girl wako alaf muda huo huo yupo tayari kutoka kinyerezi mpaka sinza/kinondoni twende tukale sehemu za kujisnap ili aonekane katolewa outAnanawa tu huyu hawezi kuoga
Hilo sas tatizo la mtu binafsi et lakin ka mtu alokuwa na maadili lazma akuite ndan bwana mke wangu hapa umekosea lkn siku nyingine fanya hv na hv Kwa upendo etTatizo waelekezaji hawajui kuelekeza, wanaelekeza kwa kufoka tena mbele za watu telee.
Hayo matusi kayaanza lini?.Je,tangu mwanzo wa mahusiano yenu alikuwa mtukanaji?Kuna mwanamke anae furahia kutukanwa hadharani!? Labda tuanzie hapo
Kwakweli mim hapanaBora utoke tu ila hii 50/50 wanaume tukikaza hamna mwanamke anatoboa
Ninao watatu,wanapika,wanafua,wanafanya usafi wa mazingira ya nyumbani,wananikata kucha na kuninyoa nywele za mafichoni n.k...n.k.Na msithubutu kuoa Hilo jambo lipo juu ya uwezo wenu kwakua hamuwezi kuishi na mke kwa heshima bali mnaishi nae kama mtumishi.
Sasa mambo anayoandika we unafikiri atakua sawa!Ila wew😂😂
Wapo wapo mkuu tafuta tafutaHii breed yako inapatikana wapi mkuu, maana siku hizi wanawake wenye fikra hizi adimu na mimi nikajichukulie mmoja kwa kweli.
Watu siku hizi wanadhani maisha ya kwenye tv ndiyo maisha halisi.Wapo wapo mkuu tafuta tafuta
Upendo wa aina hiyo huwez kumkwaza mtu watu wanapenda Kuishi na watu wanaonyesha kuwajali hata Kwa vidogo vidogo mtu aache Hela ya kula alotafuta Kwa jasho na hekaheka alafu upike havielewek
Nakumbuka nishawah kupika ugali mbichi tukiwa na wageni wakat nipo darasa 7 mama aliongea siku 7 had majirani walikuja kuamua😄😄😄
Huyo mama imagine mume
Ni aibu kufanya baadhi ya vitu kwenye familia lazima ujifunze na ukubali ujifunze
Baba yako alikuwa anapika?Wapi imeandikwa kufua, kupika ni jukumu la mke!?
Kama unauwezo wa kuoa nawewe oa tu mkuu, shida iko wapiYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
😂Don't judge a book by it's cover. Maana sio kwa povu HiloNilichogundua mleta mada ni;
Kabla ya kuolewa kwanini hukujifunza kupika!?
- mvivu uliyetukuka na halipendi kijifunza
- Hataki kukubali mapungugu yake
- Ni mbishi na hasikii
- Katoka kwenye malezi ya kufanyiwa vitu na wasaidizi
- Anataka yeye awe mtawala na alelewe kama yai, alafu kakutana na chuma cha pua
- Hapendi kufanya kazi
Kama hapo yamekushinda kwanini haurudi kwenu!?, au na wenyewe hawakutaki maana wanajua wewe ni changamoto
Ukienda roma jifunze kuishi kama waroma, huwezi tembea haujafungiwa kamba
Wewe ni mvivu na mchafu sana