Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Sieleweki au wewe ndo hujaelewa!?.

Ukiishi na mke kwa heshima hata akikosea Kufanya hzo kazi huwezi kumnanga mbele za watu, lakini ukiishi nae kama mtumishi hata akikosea utabwatuka popote pale hutojali kulinda heshima yake.

Hujaelewa wapi!??
Hujui unachotaka, nimekuuliza ikiwa mwanamume habadiliki na wewe unataka amani, utafanye?

Then geuza mambo kinyume yani me katulia alafu ke anamnanga na kubwatuka , nipe solutions nifanyeje as me?
 
We kwani unatakaje labda umeshaona mwanaume habadiliki na wewe unataka mwanaune awe wa aina fulani na hataki utafanyaje labda ili kuipata amani yako na upunguze malalamiko?
Wenye hivi vijitabia waache kuwananga wake zao hadharani, haipendezi.
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
1000285438.jpg
 
Hujui unachotaka, nimekuuliza ikiwa mwanamume habadiliki na wewe unataka amani, utafanye?

Then geuza mambo kinyume yani me katulia alafu ke anamnanga na kubwatuka , nipe solutions nifanyeje as me?
Kwakua nimeweka mada mimi haimaanishi inanihusu.

Swali lako ni mada tofauti na iliyopo ila kwa kukujibu.

Kwanza kabla ya kutatua tatizo ujue chanzo Cha tatizo.
Anabwatuka kwanini!?, Umejaribu kufanya nae mazungumzo kuhusu Hilo, kama kosa ni lako umejaribu kurekebisha unapokosea!?, Kama ni tabia yake na haachi pmja na mijadala ya muda mrefu, na kushirikisha watu wa karibu , wameashindwa pia , basi Kila mmoja aende njia yake maana mmeshindwa kukaa kwa maelewano.
 
Kwakua nimeweka mada mimi haimaanishi inanihusu.

Swali lako ni mada tofauti na iliyopo ila kwa kukujibu.

Kwanza kabla ya kutatua tatizo ujue chanzo Cha tatizo.
Anabwatuka kwanini!?, Umejaribu kufanya nae mazungumzo kuhusu Hilo, kama kosa ni lako umejaribu kurekebisha unapokosea!?, Kama ni tabia yake na haachi pmja na mijadala ya muda mrefu, na kushirikisha watu wa karibu , wameashindwa pia , basi Kila mmoja aende njia yake maana mmeshindwa kukaa kwa maelewano.
Basi io kila mmoja aende njia yake ndio SOLUTIONS.
 
Kupika kufua ni vitu ambavyo havina maana mwanamke kulia kulia

Kwanza ukimpenda mumeo huwez kutamni ale nje Wala asile chakula chako
Hayo ni matendo ya Kuonyesha upendo na yanabust upendo pia

Kama ni mkorofi hapo sijui wajuz watakuja wakusaidie

Jifunze kuwafurahisha unaowapenda
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Kwa hiyo kazi ya mke ni kulombwa tu. Kufua nguo 👐.
 

Attachments

  • IMG_20241203_161625.jpg
    IMG_20241203_161625.jpg
    81.6 KB · Views: 2
Kupika kufua ni vitu ambavyo havina maana mwanamke kulia kulia

Kwanza ukimpenda mumeo huwez kutamni ale nje Wala asile chakula chako
Hayo ni matendo ya Kuonyesha upendo na yanabust upendo pia

Kama ni mkorofi hapo sijui wajuz watakuja wakusaidie

Jifunze kuwafurahisha unaowapenda
Na kama mtu hajui kupika haifai kumnanga kisa hajui, ingia jikoni mwite umuelekeze kwa upendo kama nawe hujui , mwache ajifunze taratibu sio kumuaibisha mbele za watu.
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Kwani wakati unasoma shule za mabasi ya njano huku ukiigiza uzungu na kudekadeka dady ulikua hujui kunamaisha mengine baada ya kusoma. Kazi kwako pambana kama huwezi ndoa pisha mwanamke mwezako aingie maana foleni ni kubwa
 
Anayemfundisha mtoto wa kike majukumu anayokuja kufanya akiolewa ni mama mkwe,sasa kama mama mkwe naye hafanyi huko nyumbani basi muoaji imekula kwako...
Mama mkwe?
You mary a full package my G..
Hizi mambo za kupika ziweke mbal na mimi kidogo mkuu ..

Ndoa ni mambo mengi na lakupika kwenye list yangu kwa sasa nilishasahau very long time ago..

Unless unawambia vijana wadogo....
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Hela anazokupa mmeo ni za hisani sio jukumu lake Hilo

Acha kodi ya Meza lipa bills zote pia

Af na wewe si unamikono etc ...

By the way umelazimishwa kuolewa? Pisha achia walio tayari kufanya hayo

Acha uvivu mwanamke nyambes...
 
Kwa uzi huu najaribu kukuchora hapo lazima umeweka kucha za kubandika ndefu, unavaa wigi, unapaka makeup kama vumbi, ukipika leo mchana sufuria la ukoko unaosha kesho kwanini usisemwe mtaa mzima? Maana ukisemwa peke yako hubadiliki
Litakua vivu na kuoga hili..... shenzi
 
Na kama mtu hajui kupika haifai kumnanga kisa hajui, ingia jikoni mwite umuelekeze kwa upendo kama nawe hujui , mwache ajifunze taratibu sio kumuaibisha mbele za watu.
Kuna tofaut kubwa kujua kupika na kupenda kupika mtu km hajui na anapenda Kujifunza ni lazima jamn classes online kla Kona Kila chakula Bure na za kulipia unafundishwa step by step
Mwanaume ngumu kufundisha kuepuka kulaumiwa akubali Kujifunza mwenyew
 
Back
Top Bottom