Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reasoning capacity thinking yako ndogo sana sio?Mithal na sira ndo imesema mke akikosea kuosha vyombo au kufua atukanwe!?.
Jioe km hutaki kumfulia Mwanaume nguo jioe jipake rangi makucha ujipige vidole basi huku ukiwa unajilambaWee umejuaje kama ni maisha yangu binafsi!?, Kwani mtu hawezi kuongea kutokana na anayoyaona kwenye jamii inayomzunguka!?.
Tatizo mmekariri mtu akileta mada basi inamuhusu Moja kwa moja , ondoa hizo fikra.
Inasikitisha sanaKuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Hawakujuana?Kwahy kama ni hulka ya mtu tusiseme, tuiache hvyo hvyo.
Kwani umelazimishwa kuolewa dada?Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Mwambie aendelee kujipiga vidoleKwani umelazimishwa kuolewa dada?
Ebu kakae kwenu tu ambako hutofanya kazi hizo.
Kaa kwenu uone kama kuna mwanaume atakayekuja kukufuata kwa ajili ya kwenda kumpikia.Fanyeni wenyewe mikono hamna!?.
Kuna aliyesema kuwa wewe hauko kwenu?Kwani wanaoolewa Huwa mnawakuta juu ya miti na Sio kwao!?.
Uchunguzwe me mke wangu analima, anapika,anafua suala la kupika na kufua me siruhisiw kabisa Wenda aijui iwejeYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.