Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Mithal na sira ndo imesema mke akikosea kuosha vyombo au kufua atukanwe!?.
Reasoning capacity thinking yako ndogo sana sio?
HIi nayo ni hoja?, kwanini usiseme ni hulka ya mtu?, au wakat wa uchumba hawakujuana kitabia?.
 
Reasoning capacity thinking yako ndogo sana sio?
HIi nayo ni hoja?, kwanini usiseme ni hulka ya mtu?, au wakat wa uchumba hawakujuana kitabia?.
Kwahy kama ni hulka ya mtu tusiseme, tuiache hvyo hvyo.
 
Wee umejuaje kama ni maisha yangu binafsi!?, Kwani mtu hawezi kuongea kutokana na anayoyaona kwenye jamii inayomzunguka!?.
Tatizo mmekariri mtu akileta mada basi inamuhusu Moja kwa moja , ondoa hizo fikra.
Jioe km hutaki kumfulia Mwanaume nguo jioe jipake rangi makucha ujipige vidole basi huku ukiwa unajilamba
 
Kuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Inasikitisha sana
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Kwani umelazimishwa kuolewa dada?
Ebu kakae kwenu tu ambako hutofanya kazi hizo.
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Uchunguzwe me mke wangu analima, anapika,anafua suala la kupika na kufua me siruhisiw kabisa Wenda aijui iweje
 
Back
Top Bottom