Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
dada omba tu talaka. hapa jf sisi kama wanabodi kwa sasa hatuna msaada, hasa kama umeshindwa kufua
 
Marriage is all about responsibilities, marriage is full of responsibilities.

Ndoa ina majukumu mengi sana, mume ana yake na mke ana yake. Mnaweza kusaidiana lakini sio lazima kama haujisikii.

Wengi wanaofurahia ndoa ni wale wanaofurahia kuyafanya hayo majukumu, na hii huwa inachangiwa sana na makuzi ya kila mmoja.

Wengi wa waliokulia kwenye comfort zone wakifika kwenye ndoa wanapata tabu sana, wanaona kama wanateswa, hasa nyie wanawake. Wanaume ndio worse zaidi, maana wengi wanaona kama majukumu ya ubaba ni ya mama pia.

Hayo mengine unayoyasema ya kutukanana ni personal habits tu, hazihusiani na kutimiza majukumu yako ya ndoa.
 
Mind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!

Minding your own Business
Is a Full time Job
Stay Employed.
Kama kawaida ya majibu yako...
Sawa nimekuelewa 🙏
 
Marriage is all about responsibilities, marriage is full of responsibilities.

Ndoa ina majukumu mengi sana, mume ana yake na mke ana yake. Mnaweza kusaidiana lakini sio lazima kama haujisikii.

Wengi wanaofurahia ndoa ni wale wanaofurahia kuyafanya hayo majukumu, na hii huwa inachangiwa sana na makuzi ya kila mmoja.

Wengi wa waliokulia kwenye comfort zone wakifika kwenye ndoa wanapata tabu sana, wanaona kama wanateswa, hasa nyie wanawake. Wanaume ndio worse zaidi, maana wengi wanaona kama majukumu ya ubaba ni ya mama pia.

Hayo mengine unayoyasema ya kutukanana ni personal habits tu, hazihusiani na kutimiza majukumu yako ya ndoa.
Personal habits ambazo hazifai kwenye jamii , mtu hawezi kufua mwelekeze kwa weledi
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.wewe

Kuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Wewe ni jinsia Gani?. Tuanze hapo Kwanza
 
We nae mbona hueleweki mara heshima mara mtumishi, sikia c unaomba talaka tu uondoke mbona wanawake wenzenu wanaweza? Usiseme wenzio jisemee wewe.
Halafu mbona kuna wanawake wakishaolewa wana badilika na vijitabia vya kijinga vinaanza kuonekana , vipi hapa 👆wanaume unawapa solutions gan?
Na msithubutu kuoa Hilo jambo lipo juu ya uwezo wenu kwakua hamuwezi kuishi na mke kwa heshima bali mnaishi nae kama mtumishi.
e
 
Una quarantee gani kwamba huyo me mwingine Hana hzo tabia!??
We kwani unatakaje labda umeshaona mwanaume habadiliki na wewe unataka mwanaune awe wa aina fulani na hataki utafanyaje labda ili kuipata amani yako na upunguze malalamiko?
 
Yaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.

Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.

Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.

Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Tatizo linaanzia pale ambapo unaamini ulivyo wewe na wanawake wote duniani wapo kama wewe
 
Personal habits ambazo hazifai kwenye jamii , mtu hawezi kufua mwelekeze kwa weledi
We naye fala. Umeng'ang'ania kufua kufua.

Katika mambo ambayo hupaswi kufanya mistake ni kufua nguo za mumeo, maana ndizo anatoka nazo nje kwa watu..

The fact umeng'ang'ana na kufua ni kwamba umelelewa kinyanyanyanya, hata kufua nguo zikasafishika kwako ni mtihani.
 
We nae mbona hueleweki mara heshima mara mtumishi, sikia c unaomba talaka tu uondoke mbona wanawake wenzenu wanaweza? Usiseme wenzio jisemee wewe.
Halafu mbona kuna wanawake wakishaolewa wana badilika na vijitabia vya kijinga vinaanza kuonekana , vipi hapa 👆wanaume unawapa solutions gan?

e
Sieleweki au wewe ndo hujaelewa!?.

Ukiishi na mke kwa heshima hata akikosea Kufanya hzo kazi huwezi kumnanga mbele za watu, lakini ukiishi nae kama mtumishi hata akikosea utabwatuka popote pale hutojali kulinda heshima yake.

Hujaelewa wapi!??
 
We naye fala. Umeng'ang'ania kufua kufua.

Katika mambo ambayo hupaswi kufanya mistake ni kufua nguo za mumeo, maana ndizo anatoka nazo nje kwa watu..

The fact umeng'ang'ana na kufua ni kwamba umelelewa kinyanyanyanya, hata kufua nguo zikasafishika kwako ni mtihani.
Kwakua hujaoa mtumishi kwanini usifue mwenyewe mkeo kama hajui kufua, mikono huna!??
 
Si na wewe uoe mkuu uone ilivyo kazi kulea mtoto wa mtu hadi azeeke na akikuletea shobo ufungwe jela maisha na zaid ya hapo ukizingua ufe wewe...

Na mali zako unazotafuta kwa jasho na damu ziitwe za watoto na ndugu zako hawana haki juu yake

Hiyo ya kufua mbona ndogo sana...
Anayemfundisha mtoto wa kike majukumu anayokuja kufanya akiolewa ni mama mkwe,sasa kama mama mkwe naye hafanyi huko nyumbani basi muoaji imekula kwako...
 
Back
Top Bottom