Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!Kuna dada jirani yangu hapa,analima kwa mkono,kama kibarua na mashamba ya familia yake....
Anasema anafanya yote hayo kupambania ada ya watoto shule...
Ana watoto sita....mumewe kazi yake ni kuzungusha kende hapa na pale.
Bas mie natazama tu...
Hivi kuolewa ni lazima sana eti wandugu?
Sifungaman na upande wowoteVipi unapingana naye? Au unasimama naye mkuu?
Sasa apike nani afue nani tatz hii 50_50 inatuharibu sana wanawake mwanaume kaz yake n kutafuta ili aitunze familia mwanamke kazi yake n kumliwaza mwanaume kutokana na kuchoka aloooWapi imeandikwa kufua, kupika ni jukumu la mke!?
We bwege nini, kama nyinyi mnavoolewa ili mulelewe na kupewa hela za bure na sisi tunaoa ili tusaidiwe kufua na kupika.XYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mik ono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Kwahiyo kwako ni sawa tu ukitukanwa mbele za watu kisa umekosea kufua au kuosha vyombo!?.Mie kumpikia, kumfulia na kumfanyia vitu vingine shemeji yenu najisikia raha sana! Na wala si kutumikishwa...! Siwezi kumuachia dada afanye vitu vinavyomuhusu mume wangu.
Kwahy ukikosea kwenye kupika ana haki ya kukutukana mbele za watu.Sasa apike nani afue nani tatz hii 50_50 inatuharibu sana wanawake mwanaume kaz yake n kutafuta ili aitunze familia mwanamke kazi yake n kumliwaza mwanaume kutokana na kuchoka alooo
Kuna kufatilia na Kuna kuskia, mtu hawezi ziba maskio asisikie bhnaMind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!
Minding your own Business
Is a Full time Job
Stay Employed.
Bado unafanya na mtu anapata ujasiri wa kukutukana tena hadharani.ulishawahi kuishi na samia ukaona anayafanya hayo kwa mumewe..wanaume mmezidi mfumo dume dunia imechange huezi pima contribution ya mke kwa kuangalia tu mchango wake kwa kazi za ndani ndio maana TEKNOLOJIA imerahisisha maisha kuna machines za kusupport kazi unless otherwise
JIOE dildo zipo bei cheeYaani wanaume wengi wakioa wanadhani wameoa watumishi. Yaani kuosha vyombo, kupika , kufua ndo majukumu yake hayo yalomleta, ikitokea yamefanywa tofauti umekosea basi utanangwa mtaa mzima kama vile mwisho wa mwezi Huwa anakulipa.
Ukiona mke hajui kufua, si ufue mwenyewe mikono huna!?.
Hajui kupika pika mwenyewe.
Umekabidhiwa mke na Sio mtumishi. Ishi nae kwa heshima, ikitokea kakosea kufanya kazi husika mueleweshe kwa upole na kwa staha sio kumtangaza mtaa mzima hizo ni kashfa.
Kazi wazifanyazo wake zenu ni Ihsani na upendo wao kwenu sio jukumu lake hilo, yaani mtu unajitolea na Bado unakashfiwa.
Wee umejuaje kama ni maisha yangu binafsi!?, Kwani mtu hawezi kuongea kutokana na anayoyaona kwenye jamii inayomzunguka!?.Kwani alikulazimisha akuoe?
Wewe akili huna,Mwanamke mwenye akili timamu na maadili hawezi kuanza kumsema mumewe mitandaoni eti hana hela!!
Wakati anakuoa hizo hela alikua nazo? Kwanini ulikubali akuoe?
Kama maisha yamekushinda rudi kwenu,kulalamika mitandaoni hakuwezi kukusaidia lolote,
Mwanamke timamu hawezi kutangaza maisha yake na ya mumewe mitandaoni.
Tatizo waelekezaji hawajui kuelekeza, wanaelekeza kwa kufoka tena mbele za watu telee.Tatizo unakuwa umekosea unaelekezwa unakuwa mjeuri sa unahisi kinachofuata nn? We umekosea kubali kuelekezwa maana hakuna anayejua kila kitu lkn shda ukikosolew unareact vp?
Hiyo n hulka ya mtu mwenyew ila sio wanaume wote nd tabia zao zipo hvyoKwahy ukikosea kwenye kupika ana haki ya kukutukana mbele za watu.
Kasome vizuri mithal & sira kimemuelezea mwanamke anatakiwa awe vipi.Wapi imeandikwa kufua, kupika ni jukumu la mke!?